crome20
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 1,193
- 810
Naomba kupata elimu kwa wataalamu wa barabara TANROAD kwanini matuta yanayowekwa kudhibiti mwendo kwenye mteremko, yanawekwa hata upande wa pili wa kupanda mlima?
Nina maana kuwa bumps kama hizo ziwekwe upande mmoja tu wa kuteremka, sasa kama unamuwekea mtu anayepanda mlima, unadhibiti mwendo gani wakati kupanda kwenyewe ni mwendo mdogo?
Naomba kuelimishwa.
Nina maana kuwa bumps kama hizo ziwekwe upande mmoja tu wa kuteremka, sasa kama unamuwekea mtu anayepanda mlima, unadhibiti mwendo gani wakati kupanda kwenyewe ni mwendo mdogo?
Naomba kuelimishwa.