Jawabu sahihi sio kuweka bams ,maeneo yote yenye milima kwa maana ya kupandisha na kushuka ,pawed na njia mbili kila upande sio matutaNaomba kupata elimu kwa wataalamu wa barabara TANROAD kwa nini matuta yanayowekwa kudhibiti mwendo kwenye mteremko, yanawekwa hata upande wa pili wa kupanda mlima?
Nina maana kuwa bumps kama hizo ziwekwe upade mmoja tu wa kuteremka, sasa kama unamuwekea mtu anayepanda mlima, unadhibiti mwendo gani wakati kupanda kwenyewe ni mwendo mdogo??
Naomba kuelimishwa
Kwenye kupanda Mlima kuna kuteremka pia. Umesahau hiloNaomba kupata elimu kwa wataalamu wa barabara TANROAD kwa nini matuta yanayowekwa kudhibiti mwendo kwenye mteremko, yanawekwa hata upande wa pili wa kupanda mlima?
Nina maana kuwa bumps kama hizo ziwekwe upade mmoja tu wa kuteremka, sasa kama unamuwekea mtu anayepanda mlima, unadhibiti mwendo gani wakati kupanda kwenyewe ni mwendo mdogo??
Naomba kuelimishwa
matuta kwa sasa yamekuwa ni kero siyo nia hasa kudhibiti mwendo ni kuharibu magari tu. fikiria Morogoro pale karibu na Chuo cha kiislamu wameweka matuta 6 yale ya rasta mpaka unajiuliza ya nini kama dereva mgeni usiku unaweza mawili kuharibu gari au sababisha gari ya nyuma yako kukusukuma. Hivi mbona nchi za wenzetu hukuti matuta tena mbaya zaidi high way.Naomba kupata elimu kwa wataalamu wa barabara TANROAD kwa nini matuta yanayowekwa kudhibiti mwendo kwenye mteremko, yanawekwa hata upande wa pili wa kupanda mlima?
Nina maana kuwa bumps kama hizo ziwekwe upade mmoja tu wa kuteremka, sasa kama unamuwekea mtu anayepanda mlima, unadhibiti mwendo gani wakati kupanda kwenyewe ni mwendo mdogo??
Naomba kuelimishwa
Umeuliza swali la msingi Sana.Naomba kupata elimu kwa wataalamu wa barabara TANROAD kwa nini matuta yanayowekwa kudhibiti mwendo kwenye mteremko, yanawekwa hata upande wa pili wa kupanda mlima?
Nina maana kuwa bumps kama hizo ziwekwe upade mmoja tu wa kuteremka, sasa kama unamuwekea mtu anayepanda mlima, unadhibiti mwendo gani wakati kupanda kwenyewe ni mwendo mdogo??
Naomba kuelimishwa
Kwa hiyo ulitaka waweke tuta nusu ya barabara? (Upande wa kushoto wanaoshuka). Hizo ajali zingekuwa sio za dunia hii kwani wote wanaopanda na wanaoshuka wangehamia upande usio na tuta na ajali za uso kwa uso zisingezuilika.Naomba kupata elimu kwa wataalamu wa barabara TANROAD kwa nini matuta yanayowekwa kudhibiti mwendo kwenye mteremko, yanawekwa hata upande wa pili wa kupanda mlima?
Nina maana kuwa bumps kama hizo ziwekwe upade mmoja tu wa kuteremka, sasa kama unamuwekea mtu anayepanda mlima, unadhibiti mwendo gani wakati kupanda kwenyewe ni mwendo mdogo??
Naomba kuelimishwa
Hii inafanyika vipi sasa.Sawa basi tuta ukutane nalo wakati unateremka sio unapambana na mlima ( imagine kama pale Kitonga lori linalalamika) then unakutana na tuta la kupunguza mwendo,
Ha ha ha reasoning zetu balaa! Sasa ukiweka upande mmoja watu si wanapita huko kusiko na matuta? Huwajui madereva wa bongo wewe? Hujaona sehemu zenye matuta wanaweka mawe mwishoni, unajua kwanini? Watu wanakwepa hayo matuta hadi wanapita juu ya vibaraza vya watu.Naomba kupata elimu kwa wataalamu wa barabara TANROAD kwa nini matuta yanayowekwa kudhibiti mwendo kwenye mteremko, yanawekwa hata upande wa pili wa kupanda mlima?
Nina maana kuwa bumps kama hizo ziwekwe upade mmoja tu wa kuteremka, sasa kama unamuwekea mtu anayepanda mlima, unadhibiti mwendo gani wakati kupanda kwenyewe ni mwendo mdogo??
Naomba kuelimishwa
Ha ha haSawa basi tuta ukutane nalo wakati unateremka sio unapambana na mlima ( imagine kama pale Kitonga lori linalalamika) then unakutana na tuta la kupunguza mwendo,
Wewe ukikuta shimo barabarani huwa hukwepi kwa kupita pasipo na shimo?Duu! yaani mtu ahamie upande usiokuwa na tuta akate kona kurudi upande wake, ni kiwango cha juu sana za ujinga na uzembe, labda hii ni Tanzania tu. Sijui anyway
Tatizo hasa huku Africa madereva hawajielewi. Hivyo ina sababisha mamlaka husika zitumie theory isemayo 'Stupid actions attracts stupid reactions'. Huko ulaya mfano Germany kwenye highway, wao wanaiita 'Auto bahn' hakuna speed limit. Nyosha goti unayotaka, still Germany Auto Bahn are safest roads in Europe.matuta kwa sasa yamekuwa ni kero siyo nia hasa kudhibiti mwendo ni kuharibu magari tu. fikiria Morogoro pale karibu na Chuo cha kiislamu wameweka matuta 6 yale ya rasta mpaka unajiuliza ya nini kama dereva mgeni usiku unaweza mawili kuharibu gari au sababisha gari ya nyuma yako kukusukuma. Hivi mbona nchi za wenzetu hukuti matuta tena mbaya zaidi high way.
Umekuja lini nchini???Duu! yaani mtu ahamie upande usiokuwa na tuta akate kona kurudi upande wake, ni kiwango cha juu sana za ujinga na uzembe, labda hii ni Tanzania tu. Sijui anyway
Nchi za wenzatu zipi? Karibu kila nchi ina matuta sema Ulaya wanaweka kwenye baadhi ya barabara za mitaani. Kwa Tanzania suala la kuweka matuta mimi naliunga mkono kabisa kwa sababu madereva ni wendawazimu. Wanachotakiwa kufanya ni kuweka matuta ambao hayatasababisha uharibifu wa magari halafu yawe na alama zinazoonekana ili dereva hata akiwa mgeni ajue kuna tuta,matuta kwa sasa yamekuwa ni kero siyo nia hasa kudhibiti mwendo ni kuharibu magari tu. fikiria Morogoro pale karibu na Chuo cha kiislamu wameweka matuta 6 yale ya rasta mpaka unajiuliza ya nini kama dereva mgeni usiku unaweza mawili kuharibu gari au sababisha gari ya nyuma yako kukusukuma. Hivi mbona nchi za wenzetu hukuti matuta tena mbaya zaidi high way.