HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,554
Mimi sio mwanasheria ila naamin hao jamaa naeza kuwashinda bila hata wakili[emoji23]Sababu kubwa kesi nyingi wanazizifunguwa
1. Hawabase kwenye facts
2. Nyingi wanazifunguwa kukidhi matakwa ya kasema bosi sio sheria inasemaje
3. Wakurupukaji
Mimi sio mwanasheria ila naamin hao jamaa naeza kuwashinda bila hata wakili[emoji23]
Wanatutia hasara sana hao jamaaKwanini usiwashinde .... Wao hushinda kwa kulazimisha sio kisheria hapana. Wanashindishwa kimkakati tu bila wedi wowote. Ni lazima uwashinde Jaji/hakimu akifuata haki na matakwa ya sheria
Wanaweza kuja kupinga bila aibu kwamba CHADEMA sio chama halali cha siasa Tanzania.
Wanaweza kuja na kusema jua huchomoza kaskazin sio mashariki
In fact tuwahurumie wanatia aibu sana
Lakini kumbuka police ndio wakamataji,, state attorney wao sio wakamataji. Wala sio watoa ushahidi,, nadhani ilo labda ndio linachangia kuonekana kuwa wao wapo weak,,ila kiukweli wapo tu vizur,, maana hta vyuo na wao wamesoma ivyoivyo ambavyo wamesoma hao kina kibataraWanatutia hasara sana hao jamaa
Wanakuwa washapewa mpunga mrefu na hao watu wanaosbindana na serkalKesi nyingi zinazohusisha serikali na watu binafsi mara nyingi serikali hua inashindwa, rejea kesi ya Abdul Nondo na nyinginezo. Ya Max Mello nlikua nasoma nukuu ya wakili wa Max akimuhoji mleta mashtaka majibu yake yalikua 0 kabisa , hivi hawa mawakili hua wanajua wanachokifanya au huenda kutimiza wajibu tu wa mwajiri wao hata kama wanajua hawachomoi?? Je serikali inaweza kutumia mawakili binafsi?? Maana hawa naona waiingiza serikali hasara kila siku, kwanini hua wanafeli sana??
Ili washindwe auWanakuwa washapewa mpunga mrefu na hao watu wanaosbindana na serkal
Umekuja huku kufanya nini?Mimi sio mwanasheria ila naamin hao jamaa naeza kuwashinda bila hata wakili[emoji23]
Duuh aisee kwahiyo kesi kwao ni source of incomeState Attorney ni vilaza wa Mwisho.
Washinde washindwe wanakula mdhahara,hela za nyumba,safar,overtime na pia wanakula hela kwenye kuharibu kesi,mfano kesi ya mauaji wnataka mil 5,Ubakaji mil 2, na nyinginr milioni 1
Kujua kwanini hawa ndugu zetu wanafeli sanaUmekuja huku kufanya nini?
Hivi anaefungua mashtaka ni polisi au nani??? Je waendesha mashtaka wanapewa tu mtu tayari alieshtakiwa bila kujua mazingira ya kesi au???Lakini kumbuka police ndio wakamataji,, state attorney wao sio wakamataji. Wala sio watoa ushahidi,, nadhani ilo labda ndio linachangia kuonekana kuwa wao wapo weak,,ila kiukweli wapo tu vizur,, maana hta vyuo na wao wamesoma ivyoivyo ambavyo wamesoma hao kina kibatara
Mfano ile kesi ya nondo, shida ni polisi au mwendesha mashtaka, na je kwanin hata kama wanaona kesi 100% watashindwa kwanin hua wanaendelea nazo mpaka mwisho??Kesi nyingi za serikali zinafail kwasababu ya polisi , kwani msingi wa kesi nyingi upo polisi lakini hawa jamaa huwa huwa legal issues nyingi hawazijui ni wajuaji tu wakifika mahakamani wakikutana na wale wazee wa suti huwa wanaishia kupaniki kubwabwaja nakuomba wafute maelezo.
Mina cute hii avator ni picha yako halisi kama mimi ama ni zile za kudownloadLakini kumbuka police ndio wakamataji,, state attorney wao sio wakamataji. Wala sio watoa ushahidi,, nadhani ilo labda ndio linachangia kuonekana kuwa wao wapo weak,,ila kiukweli wapo tu vizur,, maana hta vyuo na wao wamesoma ivyoivyo ambavyo wamesoma hao kina kibatara