Kwanini mechi za Taifa Stars ziwe za kulipia viingilio? na Vipi kuhusu pesa za goli la mama?

Kwanini mechi za Taifa Stars ziwe za kulipia viingilio? na Vipi kuhusu pesa za goli la mama?

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Kama mnatoa ruzuku kule Baraza la Michezo la Taifa BMT na wizara ya michezo inapata pesa za kuendesha timu za taifa iweje watanzania walipie kuona matches za timu yao ya taifa .

Kama mnalipia hadi bao la goli za vilabu inakuwaje matches za timu ya taifa hakuna na tulipie kuona na kutaka kuona uzalendo wetu kwa timu .

Mnatuuzia uzalendo?

Soma Pia: AFCON 2025 Qualification | Tanzania Vs Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024


USSR
 
Kama mnatoa ruzuku kule Baraza la Michezo la Taifa BMT na wizara ya michezo inapata pesa za kuendesha timu za taifa iweje watanzania walipie kuona matches za timu yao ya taifa .

Kama mnalipia hadi bao la goli za vilabu inakuwaje matches za timu ya taifa hakuna na tulipie kuona na kutaka kuona uzalendo wetu kwa timu .

Mnatuuzia uzalendo?

Soma Pia: AFCON 2025 Qualification | Tanzania Vs Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024


USSR
Hoja muhimu ukizingatia hayo uliyosema. Wanatafuta umaarufu wa kisiasa katika vilabu halafu ikija timu za taifa wanapotea
 
Back
Top Bottom