Kwanini media nyingi duniani zinaeneza uongo dhidi ya M23?

Kwanini media nyingi duniani zinaeneza uongo dhidi ya M23?

Sam Richards

Member
Joined
May 3, 2019
Posts
76
Reaction score
155
Kimekuwa na media nyingi zinazowasema vibaya M23 huko congo ila kwa background hali ni tofauti, raia wa Goma na wengine wanafurahia mapinduzi ya M23.

Hapa ndio naanza kuelewa kuwa haya mapigano yanafadhiriwa pakubwa na nchi za Ulaya na kupotosha kuwa hao jamaa ni waasi ikiwa serikali kuu ndio imekiuka sheria za mikataba.

Juzi juzi hapa huko Goma yamefanyika maandamano ya amani na usafi na hao hao M23 wameonesha ushiriki wao kwa 100% na kuruhusu raia kuendelea na kazi zao.

Soma: Maelfu ya wakazi wa Goma wakusanyika uwanjani kusikiliza Hotuba ya Corneille Nangaa kiongozi wa AFC/M23

JE HAWA NI WAASI?
KWANINI WAUNGWE MKONO NA RAIA??
 
Raia hawana option zaid ya kuwaunga mkono ili wasiuwawe ovyo we unakuwa hujui saikolojia ya raia bana, kwani hao m23 si walikuwa wakiuwa ovyo tangu lini raia wawapende kama sio kuigiza mambo yasiwe mengi ata kama ni wewe
 
Kimekuwa na media nyingi zinazowasema vibaya M23 huko congo ila kwa background hali ni tofauti, raia wa Goma na wengine wanafurahia mapinduzi ya M23.

Hapa ndio naanza kuelewa kuwa haya mapigano yanafadhiriwa pakubwa na nchi za ulaya na kupotosha kuwa hao jamaa ni waasi ikiwa serikali kuu ndio imekiuka sheria za mikataba.

Juzi juzi hapa huko Goma yamefanyika maandamano ya amani na usafi na hao hao M23 wameonesha ushiriki wao kwa 100% na kuruhusu raia kuendelea na kazi zao.

JE HAWA NI WAASI?
KWANINI WAUNGWE MKONO NA RAIA??
Yaani kuwaambia tu wananchi wafanye usafi ndio wanakuwa siyo waasi.
 
Back
Top Bottom