Kwanini mgeni akifika Tanzania Bara haruhusiwi kulipia Visa kwa kutumia Credit card?

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Hivi kuna anayejua kwa nini mgeni akifika TANGANYIKA haruhusiwi kulipa Visa kwa kutumia Credit card ni hadi awe na hela Cash? Hii hulazimu wageni wasio na Visa wajazane kiwanjani wakipanga foleni kwenye ATM kupata hela cash kwa ajili ya kulipia Visa.

Nimeandika TANGANYIKA kwa kuwa, kwa upande wa ZANZIBAR walishajiunga na Dunia kwa kuweka mfumo rafiki kwa wageni wa kupokea malipo ambao unaruhusu (Credit card, Cash, n.k).

Kama tatizo ni kupunguza/kuepuka wizi nafikiri zipo njia nyingine rafiki za kulianganlia hili.
 
Unategemea nini kama maamuzi yotebyanafanywa na seniors ambao ni 50 plus hawajui hayo mambo yenu vijana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…