Kwanini mifumo haisomani?

Kwanini mifumo haisomani?

Rufiji dam

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2020
Posts
4,107
Reaction score
9,671
Leo nilikuwa na kazi ya kupeleka TRA maombi yangu ya kufanyiwa makadirio ya kulipa kodi maana nimefungua kampuni na wenzangu. Karatasi zangu zote zipo kamili kasoro nakala za vitambulisho vya NIDA, Afisa wa TRA akapekua akaniuliza nakala ya NIDA nikawa sina. Lakini nikajiuliza hawa hawa TRA wametupa TIN ya kampuni halafu Brela wana nakala ya vitambulisho vyetu.

Najiuliza hii mifumo yetu haisomani TRA na Brela? Mamlaka punguzeni ukiritimba dunia inatoka kutumia mikaratasi.

Badilikeni.
 
Leo nilikuwa na kazi ya kupeleka TRA maombi yangu ya kufanyiwa makadirio ya kulipa kodi maana nimefungua kampuni na wenzangu. Karatasi zangu zote zipo kamili kasoro nakala za vitambulisho vya NIDA, Afisa wa TRA akapekua akaniuliza nakala ya NIDA nikawa sina. Lakini nikajiuliza hawa hawa TRA wametupa TIN ya kampuni halafu Brela wana nakala ya vitambulisho vyetu.

Najiuliza hii mifumo yetu haisomani TRA na Brela? Mamlaka punguzeni ukiritimba dunia inatoka kutumia mikaratasi.

Badilikeni.
Kwenye makadirio mimi binafsi sijawahi sikia kuulizwa swala la NIDA sababu tayari nina TIN labda kama hukuwa na TIN na inatakiwa namba tu ya NIDA ujisajili mwenyewe. Hakuna kuulizwa NIDA kwenye ukadiriwaji. Pili sijawahi sikia kampuni unaenda TRA kukadiriwa maana kampuni zinajikadiria ndiyo maana wamekuona muongo wakakudanganya nawe. Kampuni inakadiriwaje kodi na TRA? Na toka lini makadirio yakatakiwa kuwa na NIDA hebu wadau tusaidiane hii kesi
 
Back
Top Bottom