Kwanini mimi?

Kwanini mimi?

wambagusta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2014
Posts
2,825
Reaction score
2,292
Kwa ufupi mie ni mcheshi sana sometimes wananitoa mpaka akili mie nachukulia poa lakini Nikiamuwa kubadilika na nikawapotezea ! no salaamu no everything wanalalamika na hii imekuwa ata kwa ndugu zangu mpaka kwa girlfriend angu nikiona wanaleta dharau au ananiletea dharau nikipiteza tu wanalalamika
 
Sasa unataka ushauri/unataka usifiwe /upewe pole /unatafuta mtu mwenye tabia kama zako /tukuogope? Hujaeleweka
 
Kwa ufupi mie ni mcheshi sana sometimes wananitoa mpaka akili mie nachukulia poa lakini Nikiamuwa kubadilika na nikawapotezea ! no salaamu no everything wanalalamika na hii imekuwa ata kwa ndugu zangu mpaka kwa girlfriend angu nikiona wanaleta dharau au ananiletea dharau nikipiteza tu wanalalamika
Kwa hiyo?
 
Huwezi kumridhisha kila mtu. Baki kuwa wewe...
 
Back
Top Bottom