Kwanini Mishahara ya watumishi ambao wapo ngazi moja inatofautiana? Je, Utumishi huwa mnafanya kazi kisayansi kweli?

Kwanini Mishahara ya watumishi ambao wapo ngazi moja inatofautiana? Je, Utumishi huwa mnafanya kazi kisayansi kweli?

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Moja ya Jambo ambalo sikuwahi kulielewa wakati nipo TZ ni hili!

MD aliemaliza MUHAS na kwenda kufanya kazi Hospital za Wilaya , hardly kuwa na take home inayozidi laki 9 . The same MD aliyemaliza MUHAS akaenda MNH , take home yake inazidi 1M . Wote hawa wawili wapo level moja ya UDAKTARI wote ni general physician , or general nurse or general famacist!

Nurse anaefanya kazi tumbi na Nurse anaefanya kazi NIMR level ile ile, mmoja atalipwa laki 7 na mwingine atakuwa na take home ya 1.5 , wote walisoma MUHAS na wote wakaajiriwa kwa wakati mmoja na wote mishahara yao inatoka serikali kuu haijalishi ni taasisi au ni Hospital lakin wote ni watumishi wa Umma wenye level moja but taasisi tofauti

Mfamasia anaefanya kazi Hospital ya Wilaya ya Kigonsera huko Songea level ile ile , elimu ile ile , chuo kile kile…. na mwenzie alieajiriwa TMDA watakuwa na mishahara tofauti na benefit tofauti. Wa Kigonsera atalipwa take home ya laki 7 na wa TMDA atalipwa take home 2M.

Sasa hoja ya msingi Utumishi mtuambie, ni nini tofauti ya hawa wawili ya KIMSIMGI? NASISITIZA HAWA WATU WANAMADARAJA SAWASAWA ..LETS SAY WOTE WAMETOKA SHULE LEO NA KWENDA KUAJIRIWA TAASISI 2 TOFAUTI

kwanini hawa watu wawe na salary tofauti na benefits tofauti? Mmoja alipwe laki 7 mwingine 1.5M ……I don’t understand what does that mean ?

Je mnatumia vigezo gani?
Hivi, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul the Innocent na Mkuu wa Mkoa Dar , Tabora?wanamishahara tofauti?
Je Waziri wa Afya anamshahara tofauti na Waziri wa elimu?

Kama Jibu ni hapana, kwanini Lower cadre of the same level wana differ ?

Au kosa na dhambi ni kuajiriwa Halmashauri na huyu mwingine blessing ni kuwa MOI?MNH TMDA TBS ?

Sina maana watu washushwe MISHAHARA hapana, namaqnisha STANDARDIZATION ya Mishahara ya watumishi ni LAZIMA. Wale wa chini nao waje juu, kuwe na standardization ya benefits pia.Kama hawa watalipwa Usafiri na communication allowance na food allowance basi na hawa walipwe…..si ni wote watumishi wa Umma? Wote wanitumikia serikali ile ile … sasa iweje watu wa ngazi moja wawe na salary tofauti chini ya Utumishi mmoja, nchi moja??

Why ?

Hili Utumishi mnatakiwa mfanye study kisha muje na STANDARDIZATION Ya mishara ya watumishi wote..nchi nzima. otherwise ni monkeys see monkeys do ….. shame

Dr Megalodon
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
 
Moja ya Jambo ambalo sikuwahi kulielewa wakati nipo TZ ni hili!

MD aliemaliza MUHAS na kwenda kufanya kazi Hospital za Wilaya , hardly kuwa na take home inayozidi laki 9 . The same MD aliyemaliza MUHAS akaenda MNH , take home yake inazidi 1M . Wote hawa wawili wapo level moja ya UDAKTARI wote ni general physician , or general nurse or general famacist!

Nurse anaefanya kazi tumbi na Nurse anaefanya kazi NIMR level ile ile, mmoja atalipwa laki 7 na mwingine atakuwa na take home ya 1.5 , wote walisoma MUHAS na wote wakaajiriwa kwa wakati mmoja na wote mishahara yao inatoka serikali kuu haijalishi ni taasisi au ni Hospital lakin wote ni watumishi wa Umma wenye level moja!

Mfamasia anaefanya kazi Hospital ya Wilaya ya Kigonsera huko Songea level ile ile , elimu ile ile , chuo kile kile…. na mwenzie alieajiriwa TMDA watakuwa na mishahara tofauti na benefit tofauti. Wa Kigonsera atalipwa take home ya laki 7 na wa TMDA atalipwa take home 2M.

Sasa hoja ya msingi Utumishi mtuambie, ni nini tofauti ya hawa wawili ya KIMSIMGI?

Ukiniambia MNH kuna workload kubwa….. ni sawa lakini mimi wakati naomba kazi nilijua hilo na nikapataka. Mtu wa Halmashauri yeye pia amepataka kule ndio maana akaenda , na wote watafanya kazi ile ile ya Utabibu au Uuguzi tena Halmashaur huenda akawa na hard time zaidi…..kwanini hawa watu wawe na salary tofauti na benefits tofauti? Mmoja alipwe laki 7 mwingine 1.5M ……I don’t understand what does this mean ?

Je mnatumia vigezo gani?
Au kosa na dhambi ni kuajiriwa Halmashauri na huyu mwingine blessing ni kuwa MOI?

Kwa private , that would make sense, but gvt ….. hapa Sayansi haijatumika na ni utaratibu wa zamani ambao unatakiwa kufanyiwa maboresho.

Hata hizi trasnfer za watumishi kuomba kuhamia taasisi nyingine ni kutafuta maslahi….mtumishi anasikia mbona sisi tutalipwa hivi….. anaambiwa na classmate wake .

Sina maana watu washushwe MISHAHARA hapana, namaqnisha STANDARDIZATION ya Mishahara ya watumishi ni LAZIMA. Wale wa chini nao waje juu, kuwe na standardization ya benefits pia.Kama hawa watalipwa Usafiri na communication allowance na food allowance basi na hawa walipwe…..si ni wote watumishi wa Umma? Wote wanitumikia serikali ile ile … sasa iweje watu wa ngazi moja wawe na salary tofauti chini ya Utumishi mmoja, nchi moja??

Why ?

Hili Utumishi mnatakiwa mfanye study kisha muje na STANDARDIZATION Ya mishara ya watumishi wote..nchi nzima. otherwise ni monkeys see monkeys do ….. shame

Dr Megalodon
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada


Jibu ni Madaraja. ......
 
Budget za mishahara ni tofauti kwa taasisi tofauti tofauti...mfano NIMR pale hawategwmei hela za serikali tu, London School HM wanamwaga hela pale za projects + MITU haiwezi kuwa sawa na halmashaauri wenye bajeti viduchu...TMDA wanafungu na bado wana makusanyo makubwa tu... Hivyo hivyo nao wamejiwekea bajeti zao zinazoendana na makusanyo yao...
 
Budget za moshahara ni tofauti kwa taasisi tofauti tofauti...mfano NIMR pale hawategwmei hela za serikali tu, London School HM wanamwaga hela pale + MITU haiwezi kuwa sawa na halmashaauri wenye bajeti viduchu...TMDA wanafungu na bado wana makusanyo makubwa tu... Hivyo hivyo nao wamejiwekea bajeti zao zinazoendana na makusanyo yao...
Great… kwa kuwa wote ni SERIKALI lazima kuwe na standardization. Najua Utumishi wana hilo DOKEZO na NGOSHA awamu yake ya pili alikuwa anakwendq kufanya standardization kuleta Tija

Hata kama pesa ya wafadhili but zote ni za Serikali

NIMR ipo chini ya Utumishi
 
Hili jambo tulilijadili sana
Kuna mpuuzi mmoja alisema wengine wanazalisha that's why wanalipwa vizuri zaidi. Hili jibu ni kichaa pekee ataliona lina mashiko.
Watumishi wa NEC wanazalisha nini?
Wanajeshi wanazalisha nini? Ukiondoa jkt ambao hata wao productive yao ni ndogo kuliko consuming yao .
PCCB wanazalisha nini ?
Mwingine akasema job description hutofautiana na kufanya wengine wawe busy zaidi kuliko wengine. Hili jibu kidogo linakuja lakini hii ilibidi posho ndio iamue sio level ya mshahara.
Haiwezekani mlinzi entry wa bandari mwenye four ya 31 na cheti cha mgambo au jkt amzidi mshahara engineer wa SIDO au halmashauri.
Serikali yenyewe imeandaa mfumo wa kuwafanya watumishi wakose UZALENDO na sasa ni mwendo wa kuiba tu.
Tuleni sawasawa na urefu wa kamba zetu
 
Hili jambo tulilijadili sana
Kuna mpuuzi mmoja alisema wengine wanazalisha that's why wanalipwa vizuri zaidi. Hili jibu ni kichaa pekee ataliona lina mashiko.
Watumishi wa NEC wanazalisha nini?
Wanajeshi wanazalisha nini? Ukiondoa jkt ambao hata wao productive yao ni ndogo kuliko consuming yao .
PCCB wanazalisha nini ?
Mwingine akasema job description hutofautiana na kufanya wengine wawe busy zaidi kuliko wengine. Hili jibu kidogo linakuja lakini hii ilibidi posho ndio iamue sio level ya mshahara.
Haiwezekani mlinzi entry wa bandari mwenye four ya 31 na cheti cha mgambo au jkt amzidi mshahara engineer wa SIDO au halmashauri.
Serikali yenyewe imeandaa mfumo wa kuwafanya watumishi wakose UZALENDO na sasa ni mwendo wa kuiba tu.
Tuleni sawasawa na urefu wa kamba zetu
Serikali ya Tanzania bado inafanya kazi kama tupo tupo Ujima. Reform ni lazima kwenye hili eneo

Mfano Hapo Kenya Injinia, Daktari, Nesi, Famasia, maanbara, wote wana salary moja…. Hakuna tofauti kwa sababu kila mtu ni mtaalam wa eneo lake.Afisq wa BOT fresh from school anakula 3 M , while Afisa wa Tanzania Postal Bank anakula laki 5 . Ila wote ni watumishi wa Umma daraja moja
 
Great… kwa kuwa wote ni SERIKALI lazima kuwe na standardization. Najua Utumishi wana hilo DOKEZO na NGOSHA awamu yake ya pili alikuwa anakwendq kufanya standardization kuleta Tija

Hata kama pesa ya wafadhili but zote ni za Serikali

NIMR ipo chini ya Utumishi
Nazn cr ukitazm vyem imependelea mishahara taasisi zinazo waingizia mapato pia.
Magfl kuna taasisi aliisifu inaingiza mapato vzr so ata mshahara wakijiongezea sio zambi
 
Mzee umekimbilia kujibu

Soma vema….. mbona nimesisitiza kuwa ngazi moja; wote daraja moja but TAASISI tofauti

Mbona watizedi mna vichwa vigumu snaa mlikula konokono utotoni au ?
Navyojua mimi hata grade za mishahara zina range, yaani unakuta ni grade moja lakini ina mshahara wa chini mpaka wa juu.... so siyo laIma mishahara ifanane mkiwa level moja....hii nimeona sana kwenye makampuni ya private....sina uzoefu serikalini
 
Moja ya Jambo ambalo sikuwahi kulielewa wakati nipo TZ ni hili!

MD aliemaliza MUHAS na kwenda kufanya kazi Hospital za Wilaya , hardly kuwa na take home inayozidi laki 9 . The same MD aliyemaliza MUHAS akaenda MNH , take home yake inazidi 1M . Wote hawa wawili wapo level moja ya UDAKTARI wote ni general physician , or general nurse or general famacist!

Nurse anaefanya kazi tumbi na Nurse anaefanya kazi NIMR level ile ile, mmoja atalipwa laki 7 na mwingine atakuwa na take home ya 1.5 , wote walisoma MUHAS na wote wakaajiriwa kwa wakati mmoja na wote mishahara yao inatoka serikali kuu haijalishi ni taasisi au ni Hospital lakin wote ni watumishi wa Umma wenye level moja but taasisi tofauti

Mfamasia anaefanya kazi Hospital ya Wilaya ya Kigonsera huko Songea level ile ile , elimu ile ile , chuo kile kile…. na mwenzie alieajiriwa TMDA watakuwa na mishahara tofauti na benefit tofauti. Wa Kigonsera atalipwa take home ya laki 7 na wa TMDA atalipwa take home 2M.

Sasa hoja ya msingi Utumishi mtuambie, ni nini tofauti ya hawa wawili ya KIMSIMGI? NASISITIZA HAWA WATU WANAMADARAJA SAWASAWA ..LETS SAY WOTE WAMETOKA SHULE LEO NA KWENDA KUAJIRIWA TAASISI 2 TOFAUTI

kwanini hawa watu wawe na salary tofauti na benefits tofauti? Mmoja alipwe laki 7 mwingine 1.5M ……I don’t understand what does this mean ?

Je mnatumia vigezo gani?
Hivi, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul the Innocent na Mkuu wa Mkoa Dar , Tabora?wanamishahara tofauti?
Je Waziri wa Afya anamshahara tofauti na Waziri wa elimu?

Kama Jibu ni hapana, kwanini Lower cadre of the same level wana differ ?

Au kosa na dhambi ni kuajiriwa Halmashauri na huyu mwingine blessing ni kuwa MOI?MNH TMDA TBS ?

Sina maana watu washushwe MISHAHARA hapana, namaqnisha STANDARDIZATION ya Mishahara ya watumishi ni LAZIMA. Wale wa chini nao waje juu, kuwe na standardization ya benefits pia.Kama hawa watalipwa Usafiri na communication allowance na food allowance basi na hawa walipwe…..si ni wote watumishi wa Umma? Wote wanitumikia serikali ile ile … sasa iweje watu wa ngazi moja wawe na salary tofauti chini ya Utumishi mmoja, nchi moja??

Why ?

Hili Utumishi mnatakiwa mfanye study kisha muje na STANDARDIZATION Ya mishara ya watumishi wote..nchi nzima. otherwise ni monkeys see monkeys do ….. shame

Dr Megalodon
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Na nyie mnadeka sana, mbona kada nyingine ni hivyo hivyo!!!
 
Serikali ya Tanzania bado inafanya kazi kama tupo tupo Ujima. Reform ni lazima kwenye hili eneo

Mfano Hapo Kenya Injinia, Daktari, Nesi, Famasia, maanbara, wote wana salary moja…. Hakuna tofauti kwa sababu kila mtu ni mtaalam wa eneo lake.Afisq wa BOT fresh from school anakula 3 M , while Afisa wa Tanzania Postal Bank anakula laki 5 . Ila wote ni watumishi wa Umma daraja moja
Sawa, ila punguza uongo kidogo.
 
Hahaha mishahara yao wapangiane wajuavyo, binafsi nashauri waruhusu rushwa ili kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake, huko wilayani kuna pesa nyingi sana.

Unakuta radiology technician ana wagonjwa wengi kuliko specialist wa figo, halafu ana pesa kuliko kamishna wa TRA.

Cha ajabu wanaona rushwa zetu huku chini wao zao huko, TPA, TRA, BOT, hutozisikia.

AJira za hospitali zinadharaulika sana, nenda huko TRA, BOT, TPA, vitoto vidogo vinakula pesa ndefuuu, wewe huku hata kuuhudhuria clinic zako za private hawataki.

ANgalia mishahara ya wanasiasa, na hawafanyi chochote cha maana.

Nchi hii ni kujiongeza tu, mshahara ni ujinga.
 
Kuna tofauti ya mishahara kati ya mashirika ya umma na serikali kuu na halmashauri.
Mashirika yenyewe Kwa yenyewe yanatofautiana mishahara.
Hivyo ndivyo ilivyo kwenye utumishi wa umma wa Tanzania
Wote mmesoma chuo kimoja kozi moja mmemaliza mwaka mmoja. ufaulu sawa.
Mmoja kapata kazi kazi udsm kama afisa tawala drj 11 na mwingine kapata kazi tanapa kama afisa tawala dry 11 hao watu mishahara yao ni tofauti.
 
Hahaha mishahara yao wapangiane wajuavyo, binafsi nashauri waruhusu rushwa ili kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake, huko wilayani kuna pesa nyingi sana.

Unakuta radiology technician ana wagonjwa wengi kuliko specialist wa figo, halafu ana pesa kuliko kamishna wa TRA.

Cha ajabu wanaona rushwa zetu huku chini wao zao huko, TPA, TRA, BOT, hutozisikia.

AJira za hospitali zinadharaulika sana, nenda huko TRA, BOT, TPA, vitoto vidogo vinakula pesa ndefuuu, wewe huku hata kuuhudhuria clinic zako za private hawataki.

ANgalia mishahara ya wanasiasa, na hawafanyi chochote cha maana.

Nchi hii ni kujiongeza tu, mshahara ni ujinga.
Daaaah
 
Moja ya Jambo ambalo sikuwahi kulielewa wakati nipo TZ ni hili!

MD aliemaliza MUHAS na kwenda kufanya kazi Hospital za Wilaya , hardly kuwa na take home inayozidi laki 9 . The same MD aliyemaliza MUHAS akaenda MNH , take home yake inazidi 1M . Wote hawa wawili wapo level moja ya UDAKTARI wote ni general physician , or general nurse or general famacist!

Nurse anaefanya kazi tumbi na Nurse anaefanya kazi NIMR level ile ile, mmoja atalipwa laki 7 na mwingine atakuwa na take home ya 1.5 , wote walisoma MUHAS na wote wakaajiriwa kwa wakati mmoja na wote mishahara yao inatoka serikali kuu haijalishi ni taasisi au ni Hospital lakin wote ni watumishi wa Umma wenye level moja but taasisi tofauti

Mfamasia anaefanya kazi Hospital ya Wilaya ya Kigonsera huko Songea level ile ile , elimu ile ile , chuo kile kile…. na mwenzie alieajiriwa TMDA watakuwa na mishahara tofauti na benefit tofauti. Wa Kigonsera atalipwa take home ya laki 7 na wa TMDA atalipwa take home 2M.

Sasa hoja ya msingi Utumishi mtuambie, ni nini tofauti ya hawa wawili ya KIMSIMGI? NASISITIZA HAWA WATU WANAMADARAJA SAWASAWA ..LETS SAY WOTE WAMETOKA SHULE LEO NA KWENDA KUAJIRIWA TAASISI 2 TOFAUTI

kwanini hawa watu wawe na salary tofauti na benefits tofauti? Mmoja alipwe laki 7 mwingine 1.5M ……I don’t understand what does this mean ?

Je mnatumia vigezo gani?
Hivi, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul the Innocent na Mkuu wa Mkoa Dar , Tabora?wanamishahara tofauti?
Je Waziri wa Afya anamshahara tofauti na Waziri wa elimu?

Kama Jibu ni hapana, kwanini Lower cadre of the same level wana differ ?

Au kosa na dhambi ni kuajiriwa Halmashauri na huyu mwingine blessing ni kuwa MOI?MNH TMDA TBS ?

Sina maana watu washushwe MISHAHARA hapana, namaqnisha STANDARDIZATION ya Mishahara ya watumishi ni LAZIMA. Wale wa chini nao waje juu, kuwe na standardization ya benefits pia.Kama hawa watalipwa Usafiri na communication allowance na food allowance basi na hawa walipwe…..si ni wote watumishi wa Umma? Wote wanitumikia serikali ile ile … sasa iweje watu wa ngazi moja wawe na salary tofauti chini ya Utumishi mmoja, nchi moja??

Why ?

Hili Utumishi mnatakiwa mfanye study kisha muje na STANDARDIZATION Ya mishara ya watumishi wote..nchi nzima. otherwise ni monkeys see monkeys do ….. shame

Dr Megalodon
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Utaambiwa MNH ni moja tuu Tz, NIMR ni moja tuu, NHIF ni moja tuu, kwahiyo hata wakilipana mishahara mikubwa haiathiri payroll

Sasa Vituo vya afya kila kata nchi nzima hospitali za wilaya nchi nzima serikali haiwezi walipa kama hao wengine

(Hayo ndio majibu yao)

Walimu, madaktari, manesi wa halmashauri hamuwezi kulipa sawa kama wanajeshi sababu mpo wengi
 
Back
Top Bottom