Huyo kweli mpuuzi kama ndio hivyo basi hata Halmashauri nao wangekuwa tofauti maana kuna halmashauri zina mapato kuzidi nyingine.Hili jambo tulilijadili sana
Kuna mpuuzi mmoja alisema wengine wanazalisha that's why wanalipwa vizuri zaidi. Hili jibu ni kichaa pekee ataliona lina mashiko.
Watumishi wa NEC wanazalisha nini?
Wanajeshi wanazalisha nini? Ukiondoa jkt ambao hata wao productive yao ni ndogo kuliko consuming yao .
PCCB wanazalisha nini ?
Mwingine akasema job description hutofautiana na kufanya wengine wawe busy zaidi kuliko wengine. Hili jibu kidogo linakuja lakini hii ilibidi posho ndio iamue sio level ya mshahara.
Haiwezekani mlinzi entry wa bandari mwenye four ya 31 na cheti cha mgambo au jkt amzidi mshahara engineer wa SIDO au halmashauri.
Serikali yenyewe imeandaa mfumo wa kuwafanya watumishi wakose UZALENDO na sasa ni mwendo wa kuiba tu.
Tuleni sawasawa na urefu wa kamba zetu
Serikali iliangalie hili jambo.Huyo kweli mpuuzi kama ndio hivyo basi hata Halmashauri nao wangekuwa tofauti maana kuna halmashauri zina mapato kuzidi nyingine.
Already did, sihitaj kusoma twiceKAMA UKIJIPA MUDA KUELEWA TOPIC NA KUSOMA KWA UFAHAM ……. UTAELEWA
Ndiyo maana nimesema uzoefu wangu kwa kampuni za private nilizopita...mfano wa range; utakuta grade B mshahara wake unaanzia 1M mpaka 1.5M so watu wa grade 1 wanaweza wakawa na mishahara iliyopishana kidogoNafanya kazi private, naelewq unachoongea. Private wanaajiri Competency …. Na in private salary itatofautiana na mtu mlioingia nae sawa kutokana na bargain power yako. That is not Utumishi. Nimefanya kazi Serikalini pia
Nielezee, I am general physian fresh from school , na we ni general physian fresh from school . Nikaajiriwq MUHAS na wewe Ukaenda NIMRI. Huko NIMR unakula 4 M ON MONTHLY….. MUHAS nakula 1.2 tu ;
Tell me hiyo range ya mishahara unayozungumzia we ina base kwenye nini ?
what is range by the way ….?
As for utumishi mshahara utatofautiana kulingana namba of years ofisini, na specialization
Mtu wa NIMR atafanya kazi aliyoomba, Mtu wa MUHAS atafanya kazi aliyoomba….. wapo daraja moja wote watumishi wote wapo chini Utumishi…….what is the privelege wa MUHAS ale 1.2 with his ass off from morning to evening and wa NIMR ale 4M
This is what I am Talking
Be realistic , make sure unaeelwa the context
Kivi embu fafanua mkuuSerikali iliangalie hili jambo.
Kuna watumishi wa umma utadhani wamachinga au wachuuzi wa samaki ferry
Nikupe zawadi gani Leo kwa pendekezo ulilotoaHILI NALO MKALITAZAME.
Namuagiza Lucas Mwashambwa na ChoiceVariable waende wakaangalie ni kwa namna gani tunaweza kusawazisha mishahara kwa wote.
Tumeanza kusikia vichokochoko na vijikelele kutoka kwa madaktare wakililia maokoto, sasa nawaagiza ninyi mwende mkalifanyie kazi kisha mnirudishie ripoti yenye HADIDU REJEA.
Mimi ni MAMA na ninyi ni MACHAWA WANGU, MKINIKUNA NITAWAKUNA.
Cc: Nyani Ngabu Lamomy Extrovert secretarybird Poor Brain Yohimbe bark
Mwamba kuna watumishi wa umma wana hali ngumu sanaKivi embu fafanua mkuu
Nipe booNikupe zawadi gani Leo kwa pendekezo ulilotoa
Njoo niichakate hiyo mbususu.Nipe boo
Wizo una suti mpya? 😹HILI NALO MKALITAZAME.
Namuagiza Lucas Mwashambwa na ChoiceVariable waende wakaangalie ni kwa namna gani tunaweza kusawazisha mishahara kwa wote.
Tumeanza kusikia vichokochoko na vijikelele kutoka kwa madaktare wakililia maokoto, sasa nawaagiza ninyi mwende mkalifanyie kazi kisha mnirudishie ripoti yenye HADIDU REJEA.
Mimi ni MAMA na ninyi ni MACHAWA WANGU, MKINIKUNA NITAWAKUNA.
Cc: Nyani Ngabu Lamomy Extrovert secretarybird Poor Brain Yohimbe bark
Mimi na ww tumesoma marketing chuo kimoja tunmemaliza mwaka mmojq. Pengine hata GPA zinafanana lakini ukienda NIMR na Mimi nikienda Halmshauri, wewe utakuwa na Mshahara mkubwa kuliko Mimi with henefits .Haipaswi kuwa hivo
Nimeipenda hii comment ni ya kitaalamu lakini inaeleweka hata kwa sisi ngumbaruHili jambo tulilijadili sana
Kuna mpuuzi mmoja alisema wengine wanazalisha that's why wanalipwa vizuri zaidi. Hili jibu ni kichaa pekee ataliona lina mashiko.
Watumishi wa NEC wanazalisha nini?
Wanajeshi wanazalisha nini? Ukiondoa jkt ambao hata wao productive yao ni ndogo kuliko consuming yao .
PCCB wanazalisha nini ?
Mwingine akasema job description hutofautiana na kufanya wengine wawe busy zaidi kuliko wengine. Hili jibu kidogo linakuja lakini hii ilibidi posho ndio iamue sio level ya mshahara.
Haiwezekani mlinzi entry wa bandari mwenye four ya 31 na cheti cha mgambo au jkt amzidi mshahara engineer wa SIDO au halmashauri.
Serikali yenyewe imeandaa mfumo wa kuwafanya watumishi wakose UZALENDO na sasa ni mwendo wa kuiba tu.
Tuleni sawasawa na urefu wa kamba zetu
Serikali ndio source ya mambo haya ya hovyo.Nimeipenda hii comment ni ya kitaalamu lakini inaeleweka hata kwa sisi ngumbaru
Moja ya Jambo ambalo sikuwahi kulielewa wakati nipo TZ ni hili!
MD aliemaliza MUHAS na kwenda kufanya kazi Hospital za Wilaya , hardly kuwa na take home inayozidi laki 9 . The same MD aliyemaliza MUHAS akaenda MNH , take home yake inazidi 1M . Wote hawa wawili wapo level moja ya UDAKTARI wote ni general physician , or general nurse or general famacist!
Nurse anaefanya kazi tumbi na Nurse anaefanya kazi NIMR level ile ile, mmoja atalipwa laki 7 na mwingine atakuwa na take home ya 1.5 , wote walisoma MUHAS na wote wakaajiriwa kwa wakati mmoja na wote mishahara yao inatoka serikali kuu haijalishi ni taasisi au ni Hospital lakin wote ni watumishi wa Umma wenye level moja but taasisi tofauti
Mfamasia anaefanya kazi Hospital ya Wilaya ya Kigonsera huko Songea level ile ile , elimu ile ile , chuo kile kile…. na mwenzie alieajiriwa TMDA watakuwa na mishahara tofauti na benefit tofauti. Wa Kigonsera atalipwa take home ya laki 7 na wa TMDA atalipwa take home 2M.
Sasa hoja ya msingi Utumishi mtuambie, ni nini tofauti ya hawa wawili ya KIMSIMGI? NASISITIZA HAWA WATU WANAMADARAJA SAWASAWA ..LETS SAY WOTE WAMETOKA SHULE LEO NA KWENDA KUAJIRIWA TAASISI 2 TOFAUTI
kwanini hawa watu wawe na salary tofauti na benefits tofauti? Mmoja alipwe laki 7 mwingine 1.5M ……I don’t understand what does that mean ?
Je mnatumia vigezo gani?
Hivi, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul the Innocent na Mkuu wa Mkoa Dar , Tabora?wanamishahara tofauti?
Je Waziri wa Afya anamshahara tofauti na Waziri wa elimu?
Kama Jibu ni hapana, kwanini Lower cadre of the same level wana differ ?
Au kosa na dhambi ni kuajiriwa Halmashauri na huyu mwingine blessing ni kuwa MOI?MNH TMDA TBS ?
Sina maana watu washushwe MISHAHARA hapana, namaqnisha STANDARDIZATION ya Mishahara ya watumishi ni LAZIMA. Wale wa chini nao waje juu, kuwe na standardization ya benefits pia.Kama hawa watalipwa Usafiri na communication allowance na food allowance basi na hawa walipwe…..si ni wote watumishi wa Umma? Wote wanitumikia serikali ile ile … sasa iweje watu wa ngazi moja wawe na salary tofauti chini ya Utumishi mmoja, nchi moja??
Why ?
Hili Utumishi mnatakiwa mfanye study kisha muje na STANDARDIZATION Ya mishara ya watumishi wote..nchi nzima. otherwise ni monkeys see monkeys do ….. shame
Dr Megalodon
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada