Elections 2010 Kwanini Mkapa hahusiki kwenye kampeini?

baina

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2010
Posts
219
Reaction score
59
Wana jf naomba kujua walau sababu mbili 2 zinazomfanya Benny hasimpigie kampeini JK.
 
Sio Mkapa tu, hata akina Warioba na wana Mwlimu Nyerere Foundation hawahusiki kabisa kwa sababu hawana cha kuwaeleza wananchi kumsifia JK. Huenda ni kwa vile ameharibu uchumi wa nchi kabisaaaaaa
 
Sio Mkapa tu, hata akina Warioba na wana Mwlimu Nyerere Foundation hawahusiki kabisa kwa sababu hawana cha kuwaeleza wananchi kumsifia JK. Huenda ni kwa vile ameharibu uchumi wa nchi kabisaaaaaa

Mimi najua sababu moja tu: JK kichwa-ngumu
 
may b sababu 1 ni kua JK anafanya kampeni ni ya familia yake na pili ni kumkumbatia mlopokaji Makamba ktk cheo chake cha ukatibu mkuu. Conclusively hata kama angekuwepo ingekula kwao 2!!!!
 
SIO MAKAPA TU, Warioba, Mkapa, Mwinyi, Malecela, na wengineo, issue ya uraisi wa JK ni ya Kifa,ilia zaidi
 
Mwacheni Mzee huyu apumzike, ale mafao yake, ana haki ya kulindwa kama rais mstaafu
 
Amekwenda South Sudan kusimamia referundum ya kuigawa Sudan. Deal la UN!!!
 
JK habebeki, amekuwa kama zigo la mavi.Aliwachafua sana wenzake wacha na yeye watu wamjazie inzi. HAFAI.
 
Mwanzoni walimwambia aliingizwa madarakani na wanamtandao wake, sasa safari hii hataka kuingizwa madarakani na mtu mwingine yeyote zaidi ya wanafamilia yake kwani kulingana na yeye jk suala la uraisi ni la kifamilia zaidi na si la kichama. Sasa sijui na sera ni za kifamilia zaidi!!!
 
Mpuuzeni JK, acheni wazee wa chama wamutose kwani ni kichwa ngumu.

Haambiliki!!!!

VOTE FOR CHADEMA
 
kwa sababu mgombea wa chama chake hana kichwa wala miguu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…