Kwanini Mkenya haweza kula na kunywa bila kuitaja Tanzania?

Kenyan economy looks bigger because of the value of the currency. But if you have to compare house by house, road by road, bridge by bridge, school by school, etc, you will realize how richer is Tanzania compared to Kenya.
It looks bigger, almost double coz ya currency... I see Hii research uliifanya lini? Naona wewe ni economist moto
 
Nadhani were in mgeni jf kwa sababu ulichoandika ni kinyume chake 100%.
 
Nafikiri Kenya kuna kitu mnatakiwa kufanya, Ukiangalia watu wachache wanamiliki uchumi wenu,Pamoja na maendeleo mliyonayo bado sehemu kubwa ya waKenya ni masikini, Mnanufaikaje na uchumi wa Kati( wa kwenye makaratasi).Shurti mustakabali wa ukubwa wa uchumi uwafikie mifukoni mwenu wote mpaka Kibera slums apartments.
 
Habari ya mujini kwa siku ya leo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji116][emoji116][emoji116]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawa si ndio wanadaiwa na chino hadi wanataka kuuzwa kunusuru madeni kumbe wanaipita? Au ni Kanye wapi? Wale vifaranga vyenye ugonjwa vilichomwa moto?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Look at you pointing fingures
 
Unasema upuzi gani, uchumi wa dollar bilioni mia moja ndio umejichokea?
Ile sio uchumi,ile huitwa gdp,wala si kitu ni ujinga flani kwa watu wazembe kama nyie wakenya

Nenda kaangalie gdp ya china na canada,then kaangalie watu wanavyoishi china na canada
 
Reactions: Oii
"TZ you have no carrier," hiki ndiyo mtoa mada anakiongelea na wewe ume confirm hapa. Kenyans mko arrogant sana, mnapenda kuichafua Tz kwa vitu ambavyo havipo. No wonder kuna watu humu Tz SGR ujenzi uko over 50% ila bado wanasema ata zero km haijajengwa.
 
Sawa mzee
 
Haya basi mko na Air Tanzania, wings of Kilimanjaro. A very big airline. Your national carrier mlinunua ndie you fit in msiachwe na akina rwanda.
 
Haya basi mko na Air Tanzania, wings of Kilimanjaro. A very big airline. Your national carrier mlinunua ndie you fit in msiachwe na akina rwanda.
Ulijitahidi kuficha makucha yako (ujinga) ila mwisho wa siku unga umezidi maji.
 
Machoko awa wanamambo ya battle kama wadada.sizipendagi mada zao za kujisifu kwa reference za uongo
 
Wimbo wa tutaipiku Kenya hebu waulize kina Geza Ulole joto la jiwe mkorinto wameuimba hadi ikabaki matusi na majungu baada ya kulemewa kwa miaka zaidi ya 10
Hahahahaha, Mchina amewakatalia pesa mumeshindwa kumalizia SGR, kukarabati reli ya zamani mumeshindwa, sisi kila kitu tunafanya wenyewe kwa pesa yetu, unataka tuwepite katika nini tena. Kujisifia kwa uchumi wa kupika ktk makaratasi wakati uhalisia unajulikana?
 
We need more light about each other. Light creates understanding, understanding creates love, love creates patience, and patience creates unity.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…