Kwanini Mkenya haweza kula na kunywa bila kuitaja Tanzania?

Ilo li nchi liloendelea ki demokrasia ndio ilo linchi la HANDSHAKE ? Tribalism ? Kwan ule uchaguzi wa 2017 BABA si ndo alijiapisha mwenyewe akidai Jubilee na IEBC walikwiba NN ? MAVI ama ... Then 2018 njuguna njuguna mkampora haki yake ya uraia mka mdeport to canada by force qithout his willing akataka ku appeal court mkamfanyaje ? IPO WAPI DEMOKRASIA hapo ..... Ikonwapi FREEDOM tunda la demokrasia hapo ? 😀😀😀😀😀
 
How do you mean you have everything? Naona ccm imewakalia " chapati" hamfurukuti.😁


Tanzania is a paradise, there's everything here from food to whatever you can think of. Why should I leave here and go to a semi-desert country, for what reason? I am in Paradiso!
 
Wakenya huwa na washangaa kuishi kwa kuitaja Tz kuisema vibayà lakini sisi hata kuwawaza hatujawai
 
May 14, 2019
Goungzhou , China

Kampuni ya Usafirishaji mizigo ya Silent Ocean , Imeendelea kutoa huduma kwa watanzania, Kenya, Rwanda, Uganda, DR Congo na wateja wake wote Africa kuhusu Huduma ambazo wanazitoa na Leo wamezungumza na AyoTV, 'Sisi kama Silent Ocean wateja wetu wote ambao tunawapokea hapa Airport ya Goungzhou tunawapatia huduma ya Usafiri mpaka hotelini bure na Pia wakati wakurudi tunafanya hivyohivyo


Source: Millard Ayo
 
awakawii taskia watanzania wamezuia mvua mawingu yamekwamia tanzania mwezi ume andama kwao lakini lakini wameongea mbaka basi unge anza kuandama kwetu kwange sema sana wasisahau tu wachina wanakuja kuchukuwa bandari yao mombasa.
 
Ni wachokozi alafu wakipewa za uso wanaanza kutukana eti mara watanzania wana wivu, sasa tuwaonee wivu na nn haahaha hahahaahah
awakawii taskia watanzania wamezuia mvua mawingu yamekwamia tanzania mwezi ume andama kwao lakini lakini wameongea mbaka basi unge anza kuandama kwetu kwange sema sana wasisahau tu wachina wanakuja kuchukuwa bandari yao mombasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…