Kwanini Mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya HIV Tanzania?

Unajua mtu akienda kutibiwa dar basi ni lazima iwe muhimbili au lugalo na lazima anaenda kutibiwa tatizo lililoonekana kushindikana sehemu zingine zote ndo akapelekwa huko... Ukifikiri utaelewa
Hapo unaongelea rufaa.
Angalia idadi ya watu waliopo Dar.
Chunguza idadi ya watu wanoingia na kutoka Dar.
Je, nisawa na njombe?
Nasio kila anaenda muhimbili anaenda kwa rufaa, wapo wanaoenda bila rufaa.
SABABU IPO, ILA SIO HIYO ULIOSEMA.
 
Hapo unaongelea rufaa.
Angalia idadi ya watu waliopo Dar.
Chunguza idadi ya watu wanoingia na kutoka Dar.
Je, nisawa na njombe?
Nasio kila anaenda muhimbili anaenda kwa rufaa, wapo wanaoenda bila rufaa.
SABABU IPO, ILA SIO HIYO ULIOSEMA.
Uko njema
 

Kwamba mtu anatoka dar anaenda kupimia waya njombe? [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mimi nnachokijua ni kwamba Njombe inaongoza kwa maambukizi,lakini ukiwa ndani ya Njombe,MAKETE ndio inaongoza kwa maambukizi,na makete ndio wilaya pekee namba moja yenye baridi kuliko sehemu yeyote ndani ya Tanzania,nadhani kwa tahmini hiyo jibu litakuwa limepatikana kuwa kwanini njombe ndio iongoze kwa hilo tatizo,na maeneo mengine yanayofuatia lazima yana hali ya hewa inayoshahabiana na Makete...
 
Usijidanganye, mkoa Wote taabani, si Mkinga wa Makete, wala Mbena, wote hoi. Sisi tupo huku, kila Nyumba ina huzuni yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usijidanganye, mkoa Wote taabani, si Mkinga wa Makete, wala Mbena, wote hoi. Sisi tupo huku, kila Nyumba ina huzuni yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia usome taratibu then ukielewa nilichoandika ndio urudi tena,unaweza ukawa umeni`crash lakini kumbe tunabishana wakati wote tupo upande mmoja..
 
Tulia usome taratibu then ukielewa nilichoandika ndio urudi tena,unaweza ukawa umeni`crash lakini kumbe tunabishana wakati wote tupo upande mmoja..
Haya boss, Makete baridi ni ya kawaida, October hadi April Hakuna Baridi, kama Baridi ndio Ukimwi basi Russia, Canada, Norway pia na zingine, zingekua zinaongoza. Kiufupi ufupi wetu wa mawazo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na hizo % Dar ndo inawathirika wengi kuliko mkoa wowote hapa TZ, idadi ya watu mkoa wa njombe ni tarafa moja tu ya Dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…