Kwanini Mkurugenzi aibe mabati licha ya Mshahara mnono alionao?

Kwanini Mkurugenzi aibe mabati licha ya Mshahara mnono alionao?

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
1,505
Reaction score
4,427
Ninasikita sana kuona nchi yetu ikiendelea kunajisiwa na watu wachache wasio waadilifu na wenye tamaa ya mali na utajiri wa haraka na mbaya zaidi wanatumia jasho la walipakodi. Ni aibu kwa kiongozi wa umma kushiriki vitendo vya wizi wa mali za umma ulizoapa kuzilinda kwa maslahi ya nchi. Kuna watu wanalipwa mishahara mizuri lakini hawaridhiki na wanafanya vitendo vya aibu sana.

Zaidi ya hayo nasikitika kuona kuna watu kwa namna moja au nyingine wanapanga kumkwamisha Rais wetu. Tuna Rais msikivu na mfuatiliaji, wote wenye tabia hizo atawashughulikia kimya.
 
Ninasikita sana kuona nchi yetu ikiendelea kunajisiwa na watu wachache wasio waadilifu na wenye tamaa ya mali na utajiri wa haraka na mbaya zaidi wanatumia jasho la walipakodi. Ni aibu kwa kiongozi wa umma kushiriki vitendo vya wizi wa mali za umma ulizoapa kuzilinda kwa maslahi ya nchi. Kuna watu wanalipwa mishahara mizuri lakini hawaridhiki na wanafanya vitendo vya aibu sana.

Zaidi ya hayo nasikitika kuona kuna watu kwa namna moja au nyingine wanapanga kumkwamisha Rais wetu. Tuna Rais msikivu na mfuatiliaji, wote wenye tabia hizo atawashughulikia kimya.
Hapo ndipo tunapaswa kujua umuhimu wa viongozi waliopewa mamlaka na wananchi au watumishi wahusike kuchavua wakurugenzi maana hawa wakuteuliwa nadhani wengine .hawana sifa bali wanalipana fadhila hivyo matatizo ni.mengi
 
Wizi ni tabia sio njaa

Kiwanda cha chanjo cha taifa kilicho pendekezwa uwezekano kuanzishwa na Mh Polepole kikianzishwa kazi ya kwanza kijikite kugundua chanjo ya mRNA ya kubadilisha hii tabia.
 
Ninasikita sana kuona nchi yetu ikiendelea kunajisiwa na watu wachache wasio waadilifu na wenye tamaa ya mali na utajiri wa haraka na mbaya zaidi wanatumia jasho la walipakodi. Ni aibu kwa kiongozi wa umma kushiriki vitendo vya wizi wa mali za umma ulizoapa kuzilinda kwa maslahi ya nchi. Kuna watu wanalipwa mishahara mizuri lakini hawaridhiki na wanafanya vitendo vya aibu sana.

Zaidi ya hayo nasikitika kuona kuna watu kwa namna moja au nyingine wanapanga kumkwamisha Rais wetu. Tuna Rais msikivu na mfuatiliaji, wote wenye tabia hizo atawashughulikia kimya.
Yafaa kwa umoja wetu ,tujiulize shida iko wapi.
 
Ninasikita sana kuona nchi yetu ikiendelea kunajisiwa na watu wachache wasio waadilifu na wenye tamaa ya mali na utajiri wa haraka na mbaya zaidi wanatumia jasho la walipakodi. Ni aibu kwa kiongozi wa umma kushiriki vitendo vya wizi wa mali za umma ulizoapa kuzilinda kwa maslahi ya nchi. Kuna watu wanalipwa mishahara mizuri lakini hawaridhiki na wanafanya vitendo vya aibu sana.

Zaidi ya hayo nasikitika kuona kuna watu kwa namna moja au nyingine wanapanga kumkwamisha Rais wetu. Tuna Rais msikivu na mfuatiliaji, wote wenye tabia hizo atawashughulikia kimya.
Ni tabia ya mtu, kwa nini mawaziri kipindi cha mkapa, JK waliweka mikataba ya ovyo kwenye madini wapate 10%, au shares kwenye kampuni hizo licha ya kuwa na ukwasi wa pesa za kutosha, akina chenge, msabaha, JK mwenyewe, kalamagi, lowasa, Yona, mramba, ngereja, etc.
 
Lisu sio mjinga muda wote akitukumbusha kuhusu kusukwa mfumo mpya wakiutawala nchini

Warioba ,samia ,mzee mwinyi nawengine hawakua wajinga kwenda kumsalimia na kumpa pole pale nairobi

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Wizi/Udokozi ni tabia mbaya tu ya mtu iliyochochewa na makuzi, wala usishangae sana Mkuu.
 
Uroho ukizidi ndugu, hata kama kuna majani yamekatwa kwa ajili ya ng'ombe utataka ubebe ukarundike kwako hata kama huna ng'ombe....
 
Back
Top Bottom