Kwanini Mnyika hawaandikii barua wabunge wa Chadema kuwaelezea hatua zilizochukuliwa na Kamati Kuu dhidi yao?

Kwanini Mnyika hawaandikii barua wabunge wa Chadema kuwaelezea hatua zilizochukuliwa na Kamati Kuu dhidi yao?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Hadi leo wabunge watatu Mh. Lwakatare, Mh. Silinde na Mh. Lijualikali wameshalalamika mbele ya bunge na vyombo vya habari kwamba hawajapewa barua na chama chao kuwaelezea maamuzi ya kikao cha kamati kuu.

Wajibu wa kuwaandikia barua hizo ni wa Katibu Mkuu mh John Mnyika lakini amesita kufanya hivyo, hii inashangaza.

Mnyika anaogopa nini kuwaandikia barua za kuwaeleza hatua za nidhamu walizochukuliwa wabunge hawa?

Au na yeye yuko njia moja?

Maendeleo hayana vyama!
 
Savimbi umeshapanic!
Una uhakika gani kama hawajaandikiwa? Je ulijua kwamba JJM aliandika barua kwa spika? Je asingeisoma ungelijua hilo? Hao Mazuzu kina silinde na lijuakali hata kama wameandikiwa si wanaweza kuropoka kwamba hawajapewa barua?

Chadema washamalizana nao watu wapo busy kuhusu Oct 2020 achaneni nayo hayo maUTOPOLO yaliyofika bei.

Kwako Mwalimu Kashasha.
 
Una uhakika gani kama hawajaandikiwa? Je ulijua kwamba JJM aliandika barua kwa spika? Je asingeisoma ungelijua hilo? Hao Mazuzu kina silinde na lijuakali hata kama wameandikiwa si wanaweza kuropoka kwamba hawajapewa barua? Chadema washamalizana nao watu wapo busy kuhusu Oct 2020 achaneni nayo hayo maUTOPOLO yaliyofika bei.

Kwako Mwalimu Kashasha.
Ok.

Nilidhani Mnyika anasitasita kwa sababu maalumu!
 
Muonekano wa awali Lijualikali ukionekana mpambanaji basi uendelee na upambanaji wako

Yawezekana AKILI ZA MBAYU WAYU ZIMEFANYA KAZI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha umbea wewe, ulitaka ufahamishwe wewe kama nani?
Hadi leo wabunge watatu Mh. Lwakatare, Mh. Silinde na Mh. Lijualikali wameshalalamika mbele ya bunge na vyombo vya habari kwamba hawajapewa barua na chama chao kuwaelezea maamuzi ya kikao cha kamati kuu.

Wajibu wa kuwaandikia barua hizo ni wa Katibu Mkuu mh John Mnyika lakini amesita kufanya hivyo, hii inashangaza.

Mnyika anaogopa nini kuwaandikia barua za kuwaeleza hatua za nidhamu walizochukuliwa wabunge hawa?

Au na yeye yuko njia moja?

Maendeleo hayana vyama!

In God we Trust
 
Hadi leo wabunge watatu Mh. Lwakatare, Mh. Silinde na Mh. Lijualikali wameshalalamika mbele ya bunge na vyombo vya habari kwamba hawajapewa barua na chama chao kuwaelezea maamuzi ya kikao cha kamati kuu.

Wajibu wa kuwaandikia barua hizo ni wa Katibu Mkuu mh John Mnyika lakini amesita kufanya hivyo, hii inashangaza.

Mnyika anaogopa nini kuwaandikia barua za kuwaeleza hatua za nidhamu walizochukuliwa wabunge hawa?

Au na yeye yuko njia moja?

Maendeleo hayana vyama!
Wamepuuzwa tu,awaandikie ili iweje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom