Kwanini MO avae saa copy za Apple Watch?

Kwanini MO avae saa copy za Apple Watch?

instagram

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,118
Reaction score
4,863
Billionea kijana zaidi Africa mwenye miaka 46 MO, sielewi kwa nini kila nikimuona anavaa smartwatch za kopy za kichina za Apple Watch badala ya original smartwatch za Apple.

Kwa mfano kuna picha kaweka Instagram kavaa smart watch ya kichina ambayo ni copy ya apple watch yenye brand ya kichina ya fitbit ambayo huuzwa kwa bei ya 150k TSH, tofauti na original Apple Watch ambayo huuzwa kati ya 1.5 million. TSH.
IMG_20211026_015240.jpg
IMG_20211026_015308.jpg
IMG_20211026_020140.jpg
 
Fitbit yangu mimi ilikuwa inauzwa $165.99 + tax imefika $178.35 sawa na Tzs 413,772 juzi pia nimechukuwa Apple watch series 6 kwa $289.99 sawa na Tzs 672,776. Hio Apple Watch ya 1.5 million ya gold au?


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Wewe kwani ndie unampa hela ili anunue hizo saa? Mbona maswali yako yamekaa kidwanzi? Yaani kwakuwa tajiri ndio anunue kitu ambacho hataki labda?

Halafu ungejua masikini ndio huwa wanahangaika na vitu vya gharama ili kujionyesha wao ni matajiri, tajiri wewe utamjua tu hahitaji kuwa na simu ya apple au saa.
 
Fitbit yangu mimi ilikuwa inauzwa $165.99 + tax imefika $178.35 sawa na Tzs 413,772 juzi pia nimechukuwa Apple watch series 6 kwa $289.99 sawa na Tzs 672,776. Hio Apple Watch ya 1.5 million ya gold au?


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Nyie ndio mnaishi Sisi tunawamalizia oxygen Tu.
 
Back
Top Bottom