Poa, unamkumbuka huyo jamaa Genda heka?? ? Alikuwa modereta Akala laifu bani?? ?!!!mkuu veeeepe?
ha ha umejuaje mkuuUlimtongoza @king`asti?
Shauri yako. King'asti si dema mchezo. Paw kafa kaozaYona King'astist: demv66 said:ha ha umejuaje mkuu
We ni mwanamke au? Mbona unaandika kijinga sana?mkuu veeeepe?
mkuu ila bado mods si wengi sana kama tulivyo...wanajf ni wengi ila mods ni wachache....inabidi wawepo humu kwenye majukwaa kuchangia changia,kuanzisha mada....nk