Wanajamii! Mimi hadi leo nashindwa kuelewa sababu za uhakika zilizopelekea Jose Mourinho kuondoka katika klabu ya Chelsea.
Nasikia wengine wakisema bilionea Roman hakupenda sera za kung`ang`aniza ushindi badala ya kucheza soka safi kama Arsenal, wengine wakisema kocha huyo alikuwa akipangiwa kikosi, sasa nashindwa kuelewa sababu hasa ni nini.
Kiukweli mimi ni shabiki mkubwa wa Chelsea na hadi sasa naona Mourinho ndiye aliyeweza kuipa mafanikio klabu hiyo,na hadi sasa mwenendo wa Chelsea sio mzuri kabisa.
Mwenye kumbukumbu nzuri kuhusu kilichomuondoa kocha huyo anisaidie kujua hilo
Nasikia wengine wakisema bilionea Roman hakupenda sera za kung`ang`aniza ushindi badala ya kucheza soka safi kama Arsenal, wengine wakisema kocha huyo alikuwa akipangiwa kikosi, sasa nashindwa kuelewa sababu hasa ni nini.
Kiukweli mimi ni shabiki mkubwa wa Chelsea na hadi sasa naona Mourinho ndiye aliyeweza kuipa mafanikio klabu hiyo,na hadi sasa mwenendo wa Chelsea sio mzuri kabisa.
Mwenye kumbukumbu nzuri kuhusu kilichomuondoa kocha huyo anisaidie kujua hilo