kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Umezingua, hata kama ni account binafsi,
Huyu anafaa kufukuzwa kazi anahihujumu timu,
Owner wa Azam fc ni nani?
S.s bakhresa ana company zaidi ya 30,, na hyo Azam media ni moja ktk company zake,,,,sasa utatofautishaje Azam media na Azam companies?
Tatizo letu watanzania ni pale,, kila mwananchi kujifanya mjuwaji na kugeuka mwanasheria uchwara.
-- all those companies are owned by s.s.bakhresa..View attachment 1664456
Manara Ni wahed Simba imempa mapembe kaamua kuongezea mkia na manara nje ya Simba Ni mtu wa KAWAIDA tu leo itokee manara out mtakuja kushangaa wenyewe eti akaunti binafsi km Ni hivyo Leo Dr kakurwa katibu mkuu CCM aitangaze chadema kwenye akaunti yke binafsi hivi unamtofautisha vipi manara na kwa wakati upi?
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
[emoji851]Kwa hiyo ww unasemaje ?
Maji ya MO ni wazamini wa Simba iweje Manara akatangaze maji ya Uhai?
Hoja yako ya fremu ni irrelevant na ndio maana nikakuambia tofautisha kati ya Azam na Azam FC!! Wewe umehoji ikiwa Yanga (timu) inaweza kupanga fremu za Simba ( mali ya timu) wakati hapa ni Haji kutangaza biashara za kampuni ya Azam na sio Azam FC!! Na ndio maana nikakuambia tofautisha kati METL na Simba FC kwa sababu Mshindani wa Azam (kampuni) ni METL na sio Simba FC; na huyo Manara ni Mwajiriwa wa Simba na sio Mwajiriwa wa METL!!
Tatizo lenu mnachukulia Simba na Mohamed Enterprises ni kitu kimoja wakati sio!!!
Mfano MwanaChadema anamiliki Redio , CCM wakipeleka matangazo yao Radio ikatae?Radio ikikubali Chadema wanaweza kumchukulia Hatua kama Mwanachama wake?Hapo ukitafakari utaona kisheria hakuna shida.Kwahiyo tumkute mwanaccm anapost Mambo ya Chadema kwenye account Yake kisa ni account binafsi.
Unajua terms and conditions za mkataba kuhusu conflict of interest ?
Kawaambie Uhuru radio au channel ten wapokee matangazo ya Chadema uone utakavyojibiwa. Kama sio kunaswa vibao Hadi akili zikukae sawa maana hunielew hata unachoandika.Mfano MwanaChadema anamiliki Redio , CCM wakipeleka matangazo yao Radio ikatae?Radio ikikubali Chadema wanaweza kumchukulia Hatua kama Mwanachama wake?Hapo ukitafakari utaona kisheria hakuna shida.
Me SimbaUtopolo utawajua tu
Mmmh wanakenua meno GsmmmmMashabiki wa yanga uwa wanajua GSM Ni Mali ya yanga[emoji847][emoji847][emoji847].
Sasa ukiona issue za Haji zimetulia ndio ujue hakuna shida mkuu, shida IPO kwako wewe unayelazimisha.Kawaambie Uhuru radio au channel ten wapokee matangazo ya Chadema uone utakavyojibiwa. Kama sio kunaswa vibao Hadi akili zikukae sawa maana hunielew hata unachoandika.
Hapa ndio unazungumzia Conflict of interest halisi.Hili liko wazi.Kwa Kesi ya Haji, Azam Nazi sio mpinzani wa Simba Sports Club.Hivyo hakuna Conflicts of Interest.Haji ni Balozi wa Azam.Haji atatangaza bidhaa zote za Azam lakini hatotangaza Azam FC kwa vile Azam FC ni mpinzani wa Simba Sports Kibiashara.Mfano Joti hapo alipo hawezi fanya kazi na Voda,Airtel,Smile,Smart au TCCL atabaki na tiGO hadi mkataba wake utakapoisha
Basi sawa,,Kwani kuna siku Azam FC imecheza na Timu inayoitwa MO Enterprises?
Tofautisha Kati ya Simba SC na Mo energy drink.
Tofautisha Kati ya Azam FC na Coconut.
Ova
Jifunze kitofautisha kati ya jumlisha na msalaba.Kwahiyo Simba na Yanga zikatae mechi zao kuoneshwa na AZAM TV inayomilikiwa na Azam Media ambayo ni ndugu na Azam FC?
Je Simba na Yanga zikatae uzamini wa Azam Media?
Ujuaji wako utakupeleka kwenye Giza.
Mawakili uchwara ktk ubora wao.Unahitaji kujifunza Company Law, atleast kwa introduction.
Mawakili uchwara ktk ubora wao.
Hiyo haiko sawa mkuu.
Siku zote manara husema kwamba simba ni brand,
Na yeye popote anapokuwepo kuzungumza jambo lolote basi anakuwa amebeba brand ya simba.
Sasa iweje leo atangaze biashara za Azam?
Tena timu ambayo ni shindani kwenye ligi?
Kama kunaweza kufanywa mazungumzo ya kibiashara za matangazo kati ya Azam na manara,,
Watashindwaje kufanya mazungumzo ya kuuziana mechi?
Hapo kuna tatizo,,, nadhani jamaa kabugi sana kwa hilo.