Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Haya mambo yanafikirisha sana asee.
Why vijana wanqtendewa hivi? Sasa ni muda wa serikali kujitafakari.
Katika fukuto la ukosefu wa ajira Kuna mtu anakuja kusema vijana wasifikirie ajira za serikali pekee bali wajiajiri.
Mtu huyo ni msemaji wa serikali pia ni katibu mkuu wizara ya habari!
Why vijana wanqtendewa hivi? Sasa ni muda wa serikali kujitafakari.
Katika fukuto la ukosefu wa ajira Kuna mtu anakuja kusema vijana wasifikirie ajira za serikali pekee bali wajiajiri.
Mtu huyo ni msemaji wa serikali pia ni katibu mkuu wizara ya habari!