Anaashiria kitu fulani kati ya hivi
1. Anategemea kumuona mtu anayemjua pembeni yake akiamka...ikiwa tofauti lazima ahamaki hivyo kupelekea kulia
2. Amejisaidia na anahitaji msaada...watotot wengi waki~puu au kukojoa wanajisikia Hali tofauti hivyo hulia kuashiria anahitaji msaada wa kusafishwa
3. Homa za vipindi...mtoto akiwa na Homa Mara nyingi hupata ahueni akiwa usingizini hivyo usingizi ukiisha anaamka na anahisi Homa tena lazima atalia
Kwa ujumla mtoto hulia kuashiria jambo fulani ambalo ni tofauti na Hali ya kawaida kwake.