bway hermit
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,337
- 2,339
Nimecheka vibaya mnoMambo ya blue baby!!
Hiyo ya kwanza ndiyo sababu haswa,hilo jingine ni tango pori tu ndugu yangu.
Mkuu we ni doctorMabadiliko ya ghafla ya mazingira/ hali ya hewa kutoka ya joto la nyuzi 37 degrees centigrade ndani ya tumbo la mama yake hadi hali ya baridi na upepo mkali wa dunia yetu, humfanya alie sana. Kitendo cha kulia husababisha avute hewa ya dunia kwa mara ya kwanza na kuyapanua mapafu yake na kuanzisha automatic breathing process.
NB: Akiwa ndani ya tumbo la mama mtoto huwa hali chakula kwa mdomo wala huwa hapumui kwa pua. Mahitaji yake ya chakula na hewa huyapata kwa mama yake kupitia kitovu chake hadi kwenye kondo la mama yake. Hivyo mapafu huwa yame collapse. Akizaliwa akashindwa kulia basi atashindwa kupumua na baada ya dakika chake lazima ataaga dunia.
Kuna maumivu anapata katika hiyo process ndio maana analia take your time soma anatomy na physiology topic blood circulation utapata majibu yoteKama analia ili oxygen ipite kwenye mapafu ni kwa nini asicheke kwa raha zake ili hewa ipite?? Nafikiri anaona ulimwengu wa ajabu tofauti na alivyokua tumboni. Ndio maana watoto wanaona ulimwengu wa roho, wachawi na mambo yao ya ajabu. Aliyecheka wakati wa kuzaliwa ana tatizo, ni kwa nini afurahie mabaya ya duniani??
Pia ukumbuke mtoto anapolia anajikinga na magonjwa ya moyoKama analia ili oxygen ipite kwenye mapafu ni kwa nini asicheke kwa raha zake ili hewa ipite?? Nafikiri anaona ulimwengu wa ajabu tofauti na alivyokua tumboni. Ndio maana watoto wanaona ulimwengu wa roho, wachawi na mambo yao ya ajabu. Aliyecheka wakati wa kuzaliwa ana tatizo, ni kwa nini afurahie mabaya ya duniani??
Ile feeling anayoipata wakati oxygen inapita kwenye mapafu ndo inamfanya alie na sio kwamba analia ili oxygen ipite.Kama analia ili oxygen ipite kwenye mapafu ni kwa nini asicheke kwa raha zake ili hewa ipite?? Nafikiri anaona ulimwengu wa ajabu tofauti na alivyokua tumboni. Ndio maana watoto wanaona ulimwengu wa roho, wachawi na mambo yao ya ajabu. Aliyecheka wakati wa kuzaliwa ana tatizo, ni kwa nini afurahie mabaya ya duniani??
ngoja nifinye kichanga chetu hapa kinalala tu kizembe kipate ugonjwa wa moyo burePia ukumbuke mtoto anapolia anajikinga na magonjwa ya moyo
Kulia na kucheka yote sawa tu, ni makeleleKama analia ili oxygen ipite kwenye mapafu ni kwa nini asicheke kwa raha zake ili hewa ipite?? Nafikiri anaona ulimwengu wa ajabu tofauti na alivyokua tumboni. Ndio maana watoto wanaona ulimwengu wa roho, wachawi na mambo yao ya ajabu. Aliyecheka wakati wa kuzaliwa ana tatizo, ni kwa nini afurahie mabaya ya duniani??
mtoa hoja anasema kwa nini mtoto alie na asitumi njia nyingine? kwa mfano anaweza kucheka na huko kunaweza pia kusababisha mapafu yake yakapanuka siyo.Mabadiliko ya ghafla ya mazingira/ hali ya hewa kutoka ya joto la nyuzi 37 degrees centigrade ndani ya tumbo la mama yake hadi hali ya baridi na upepo mkali wa dunia yetu, humfanya alie sana. Kitendo cha kulia husababisha avute hewa ya dunia kwa mara ya kwanza na kuyapanua mapafu yake na kuanzisha automatic breathing process.
NB: Akiwa ndani ya tumbo la mama mtoto huwa hali chakula kwa mdomo wala huwa hapumui kwa pua. Mahitaji yake ya chakula na hewa huyapata kwa mama yake kupitia kitovu chake hadi kwenye kondo la mama yake. Hivyo mapafu huwa yame collapse. Akizaliwa akashindwa kulia basi atashindwa kupumua na baada ya dakika chake lazima ataaga dunia.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]ngoja nifinye kichanga chetu hapa kinalala tu kizembe kipate ugonjwa wa moyo bure