Kwanini mtu akigundua amekosea namba hukata simu ghafla?

Kwanini mtu akigundua amekosea namba hukata simu ghafla?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Sina hakika kama ni Afrika nzima au Mtanzania tu.
Wengi wao akikupigia simu baada ya kupokea simu yake na akagundua kuwa haukuwa mlengwa, basi hukata simu ghafla bila maelezo yeyote.
Huwa kuna sababu gani ya kufanya hivyo? Je, ni uungwana? Mtu yule hata ukijaribu kumpigia ili kujua ana shida gani anaweza asipokee kabisa. Au akapokea lakini akajibu kimkato tu "Nimekosea nambaaaaa" kisha akakata

Je, hii ni hali ya kutojiamini kwa Mtanzania? Baada ya kugundua mpokeaji simu simu mlengwa, kwa nini usimweleze hilo kwa ufupi kisha mkaachana kwa amani badala ya kukimbia?
Miaka ya nyuma wakati mawasiliano ni gharama tungeweza kusema sababu ni kuokoa airtime maana "dola" zitaisha, mtu anaongea huku kidole kipo kwenye kitufe cha kukata. Lakini kipindi hiki ambapo madakika kibao, sioni haja ya kufanya hivyo.

Ni kumkosea heshima mtu anayekupokelea simu yako. Wengine tupo busy na tunajali namba ngeni, napoacha kazi zangu kwa ajili ya kukupokelea simu, halafu wewe unakata ghafla baada ya kusikia Haloo, nakuona hujiamini na pengine akili hazikutoshi
 
Sina hakika kama ni Afrika nzima au Mtanzania tu.
Wengi wao akikupigia simu baada ya kupokea simu yake na akagundua kuwa haukuwa mlengwa, basi hukata simu ghafla bila maelezo yeyote.
Huwa kuna sababu gani ya kufanya hivyo? Je, ni uungwana? Mtu yule hata ukijaribu kumpigia ili kujua ana shida gani anaweza asipokee kabisa. Au akapokea lakini akajibu kimkato tu "Nimekosea nambaaaaa" kisha akakata

Je, hii ni hali ya kutojiamini kwa Mtanzania? Baada ya kugundua mpokeaji simu simu mlengwa, kwa nini usimweleze hilo kwa ufupi kisha mkaachana kwa amani badala ya kukimbia?
Miaka ya nyuma wakati mawasiliano ni gharama tungeweza kusema sababu ni kuokoa airtime maana "dola" zitaisha, mtu anaongea huku kidole kipo kwenye kitufe cha kukata. Lakini kipindi hiki ambapo madakika kibao, sioni haja ya kufanya hivyo.

Ni kumkosea heshima mtu anayekupokelea simu yako. Wengine tupo busy na tunajali namba ngeni, napoacha kazi zangu kwa ajili ya kukupokelea simu, halafu wewe unakata ghafla baada ya kusikia Haloo, nakuona hujiamini na pengine akili hazikutoshi
Nyie chawa wa Lissu mna akili mbovu sana Yaani hiki ni kitu cha kukianzishia thread kweli?
 
Na wengi wao husema kabla hawajakata simu namtafuta flani basi sio wewe nimekosea namba,
 
Nyie chawa wa Lissu mna akili mbovu sana Yaani hiki ni kitu cha kukianzishia thread kweli?
Uchaguzi ulishaisha, Lissu sasa ni Mwenyekiti wa Chadema including Mbowe. Nini kimepungua mbali na nyinyi Chawa kukosa mafao?
 
Unatia kinyaa!! Sukuwahi fikiri una akili Za kitoto hivi
Kinachokusumbua ni chuki tu, hakuna kingine na wala sio nilichoandika. Chuki kama mwanamke kapokonywa bwana. Chuki dhidi ya kila mtu aliyempinga Mbowe na kumuunga Lissu mkono. Naiona hiyo chuki yako kwa kila aliyempinga Mbowe. Sasa hapo nani anatia kinyaa. Acha chuki za kipumbavu brother, huna uwezo wa kunipangia cha kuandika
 
Kinachokusumbua ni chuki tu, hakuna kingine na wala sio nilichoandika. Chuki kama mwanamke kapokonywa bwana. Chuki dhidi ya kila mtu aliyempinga Mbowe na kumuunga Lissu mkono. Naiona hiyo chuki yako kwa kila aliyempinga Mbowe. Sasa hapo nani anatia kinyaa. Acha chuki za kipumbavu brother, huna uwezo wa kunipangia cha kuandika
Unatia kinyaa sana!! Huna akili we hayawani haya mkaandamane sasa Slaa atoke kunyea ndoo shwaini.
 
Back
Top Bottom