IamInLoveWithElders
Member
- Nov 18, 2016
- 55
- 43
Hili limekaa kibaiolojia, kisaikolojia au kidentist zaidi. Je ni kwanini baadhi ya watu huwashwa ama kuumwa na meno iwapo sinia au kitu cha bati kikisuguliwa kwenye mchanga?
Natumai wataalamu humu watatupa mwanga.
dah we nae punguzaga umbeya my
Hahahaha "oh my"Huu uandishi wa Kicameroon.
ulicopyright?...au unaropokaHa ha ha dadeki hii ndo jf mkuu kick kama wanasiasa.mm nilicoment kule yy kaanzisha uzi ..majibu sina
dah we nae punguzaga umbeya my
Khaaa mbona povu sanaulicopyright?...au unaropoka
Naona watu mko bize kugombania threadICHANA said:Khaaa mbona povu sana
Unajua maana ya kuropokA
Je copyright unajua inatoleweje??
nilitaka kuandika "my bi*tch" sasa chaji ikaishaIkuandikst: 18547819 said:Rudi darasan kajifunze uandishi na pia unajua maana ya umbeya....sio kila mtu ni my ...
...aliyeandika mistari mingi n ww, so honestly ww ndio unaetokwa povuKhaaa mbona popana
Unajua maana ya kuropokA
Je copyright unajua inatoleweje??
Ndio maana hauchuniki [emoji23] [emoji23]Mimi hata kukanyaga mchanga napataga shida sana au mtu akitembea kwa kuburuza miguu inanipa shida mnoo.