Kwanini mtuhumiwa mwenye kesi yenye dhamana anyimwe haki yake ya dhamana

Kwanini mtuhumiwa mwenye kesi yenye dhamana anyimwe haki yake ya dhamana

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Habari waungwana,

Kuna jamaa yangu fulani anatuhumiwa kutenda kosa la kumshambulia mtu ambaye ambaye walizozana kidogo. Shida imekuja kuwa anaendelea kushikiliwa kituo cha Polisi huku suala la kumdhamini likiwa limegonga mwamba. Hii ni kumnyima haki ya msingi jamaa yetu.

Ibara ya 13(6) (b) inasema kuwa mtu hatochukuliwa kuwa mwenye hatia mpaka tuhuma zithibitishwe dhidi yake, sasa kuendelea kumnyima dhamana ndugu yetu mimi naona kama tayari washamhukumu.

Sasa wakuu naomba msaada wa sheria kidogo kuhusu jambo hili.

Pia soma
 
Ibara ya 13(6) (b) inasema kuwa mtu hatochukuliwa kuwa mwenye hatia mpaka tuhuma zithibitishwe dhidi yake, sasa kuendelea kumnyima dhamana ndugu yetu mimi naona kama tayari washamhukumu
Kinacho sababisha haya yote ni watanzania kutojua Sheria. Kwanza hapa niseme wazi Hakuna ada au ushuru unaotakiwa kutozwa kwa ajili ya dhamana katika makosa ya jinai. Hii inamaana kwamba dhamana ni bure na isitokee polisi akadanganya raia walipe fedha kwaajili ya dhamana.
IMG_4130.jpeg

Kifungu cha 64(4) cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai
Sasa wakuu naomba msaada wa sheria kidogo kuhusu jambo hili.
 

Attachments

  • IMG_4130.jpeg
    IMG_4130.jpeg
    163.2 KB · Views: 10
Kinacho sababisha haya yote ni watanzania kutojua Sheria. Kwanza hapa niseme wazi Hakuna ada au ushuru unaotakiwa kutozwa kwa ajili ya dhamana katika makosa ya jinai. Hii inamaana kwamba dhamana ni bure na isitokee polisi akadanganya raia walipe fedha kwaajili ya dhamana.
View attachment 3021552
Kifungu cha 64(4) cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai

Wwe achaa kujifanya kama umekuja jana Tanzania kutoka USA, watu wanajua hadi msemo "kuingia bure,kutoka na hela", wengine wanalipia hadi gharama za kumkamata muhalifu! Omba yasikukute!!
 
Kuna rafiki yangu mmoja alipelekwa Mahakamani but mwishoni hakimu alimuuliza kuwa unawadhamini akajibu ninao but mwendesha mashtaka Akamuomba hakimu asidhaminiwe kwa kuwa anaweza kwenda kuharibu ushaihidi huko mtaani. na ombi la Mwendesha Mashtaka likakubaliwa ila sijui imakaaje kisheria.
 
Kuna rafiki yangu mmoja alipelekwa Mahakamani but mwishoni hakimu alimuuliza kuwa unawadhamini akajibu ninao but mwendesha mashtaka Akamuomba hakimu asidhaminiwe kwa kuwa anaweza kwenda kuharibu ushaihidi huko mtaani. na ombi la Mwendesha Mashtaka likakubaliwa ila sijui imakaaje kisheria.
Iyo ina ruhusiwa na sheria
 
Back
Top Bottom