Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Kama utoi sadaka hauzikwi?
Kweli nyumba za ibada ni kuzikana, Imani yako ndio itakayokuponya!
Kweli nyumba za ibada ni kuzikana, Imani yako ndio itakayokuponya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Consultation fees jombaaaKama utoi sadaka hauzikwi?
Kweli nyumba za ibada ni kuzikana, Imani yako ndio itakayokuponya!
Acha kuchafua nyumba za ibada hasa wakati huu tukielekea kusheherekea kufufuka kwa Kristo.Kama utoi sadaka hauzikwi?
Kweli nyumba za ibada ni kuzikana, Imani yako ndio itakayokuponya!
Kama utoi sadaka hauzikwi?
Kweli nyumba za ibada ni kuzikana, Imani yako ndio itakayokuponya!
Kama utoi sadaka hauzikwi?
Kweli nyumba za ibada ni kuzikana, Imani yako ndio itakayokuponya!
Ya waja ni mengi sana yakupasa kutafakarNimemkumbuka Shekhe mmoja mahiri sana kwenye msikiti wa jirani na kwangu. Alipoanza kuhudumia pale palikua padogo, vifaa vichache, basi yule Shekhe kwa sadaka chache na hamasa aliyokua akiwapa waumini akatanua msikiti ukawa mkubwa, akaweka mabomba, Tank ya maji na kuhakikisha usafi wa nyumba ya ibada.
Baada ya pale akatokea muumini mmoja akasema zaidi ya miaka 20 msikiti haujakuwa na maendeleo na Kia kazi iliyofanyika akaamua kumpa Shekhe zawadi ya gari...... weweeeee waliinuka wazee wachache wakaanzisha vita na Shekhe hadi wakamhamisha
Kwetu sisi wakristo ili linatukumbusha neno MUNGU alilotuambia kwamba wapo MAKRISTO NA MANABII WA UONGO. Tujihadhari nao
Ya waja ni mengi sana yakupasa kutafakar
Ngoja nikujibu kwa kujifurahisha. Ona unavyotoa macho kama mjusi. Nakuona we mwenye Elimu. unamshangaa kichaa we nawe kichaaWe Jamaa unapost Sana pumba hauna Elimu yoyote ubabaishaji nimefatilia Post zako wewe dishi limecheza
Hakika. TutashindaPalipo na Mungu shetani nae anapataka hapohapo
Jibu zuriNimemkumbuka Shekhe mmoja mahiri sana kwenye msikiti wa jirani na kwangu. Alipoanza kuhudumia pale palikua padogo, vifaa vichache, basi yule Shekhe kwa sadaka chache na hamasa aliyokua akiwapa waumini akatanua msikiti ukawa mkubwa, akaweka mabomba, Tank ya maji na kuhakikisha usafi wa nyumba ya ibada.
Baada ya pale akatokea muumini mmoja akasema zaidi ya miaka 20 msikiti haujakuwa na maendeleo na Kia kazi iliyofanyika akaamua kumpa Shekhe zawadi ya gari...... weweeeee waliinuka wazee wachache wakaanzisha vita na Shekhe hadi wakamhamisha
Kwetu sisi wakristo ili linatukumbusha neno MUNGU alilotuambia kwamba wapo MAKRISTO NA MANABII WA UONGO. Tujihadhari nao