Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
Bado najiuliza .km ubora wa elimu upo chini hivi?halafu kuna siasa na dini ktk matokeo,na uimara wa taasisi maalumu unategemea uadilifu na msimamo wa mtu,soon watahiniwa watatapata matokeo kutegemea dini,siasa na mambo mengine.mwishowe hata wale wanaoweza hawatajulikana.Nadhani ni muda muafaka zile mock ziwe imara ili mashirika ya dini yenye ubora yawe pata watahiniwa wao na wawape vyeti ili ktk ajira waajiri wawezechagua wasomi na waliochaguliwa.kutemea na malengo yao kiutendaji..TAYARI USANII UNATISHA..After 3 yrs ktk soko huria kutakuwa na nidhamu.kila mhitimu ataulizwa shule aliyosoma na cheti cha taasisi km hazina kiwango ajikomboe ktk interview,au awe cheap labour,au akabebwe na mitandao serikalini.Tutabaki na serikali yenye makundi na kubebana na soko huria linalotaka ufanisi.T