ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Miaka ya nyuma mpaka kura tulipiga nimeshangaa mabadiliko hakuna Tena thread ya hivyo nikasikitika mwaka 2018 unaishaje kinyonge
Ila Mimi nagawa zangu.brand zangu Bora kabisa kwa hapa jf
1.mshana.bado yupo katika ushindi wa mtu ambaye mabandiko yake Yana influence kubwa katika maisha yangu
2.kikulachochako.huyu pia Ni mshindi kipengele Cha mahusiano na ndoa.kuna vitu amewahi kuvisema vinachochea sana fikra zangu
3.MSAGA SUMU.bado anakimbiza kwa kufanya maajabu na Sasa tuko naye katika msimamo mmoja taifa moja.msaga sumu kipengele Cha ufahamu umekishinda
4.kwa upande wa wanawake Kuna huyu wa kuitwa......bado NAENDELEA kuwaga tuzo
Ni kwa hisani ya jack Daniel.
Ila Mimi nagawa zangu.brand zangu Bora kabisa kwa hapa jf
1.mshana.bado yupo katika ushindi wa mtu ambaye mabandiko yake Yana influence kubwa katika maisha yangu
2.kikulachochako.huyu pia Ni mshindi kipengele Cha mahusiano na ndoa.kuna vitu amewahi kuvisema vinachochea sana fikra zangu
3.MSAGA SUMU.bado anakimbiza kwa kufanya maajabu na Sasa tuko naye katika msimamo mmoja taifa moja.msaga sumu kipengele Cha ufahamu umekishinda
4.kwa upande wa wanawake Kuna huyu wa kuitwa......bado NAENDELEA kuwaga tuzo
Ni kwa hisani ya jack Daniel.