Kwanini Mwamposa afanye tukio tarehe 01.02.2020?

Kwanini Mwamposa afanye tukio tarehe 01.02.2020?

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Nimeona topic hii kwa page ya jamaa anajiita Dr Williams nikaswma ngoja wajuzi tuipime, maana ndugu zetu wameumia mkoani Kilimanjaro.

Twende pamoja👇
Watanzania tarehe 1 ni namba iliyobeba maagano makubwa, siwafichi kwa kitendo alichokifanya Mwamposa ana nguvu ya kufunika viongozi wa serikali macho na akili wasilifatilie suala hili kwa serous kama watanzania hawatakemea haya mambo ni yakutisha sana.

Tukio limetokea tarehe 1 mwezi 2 ilikuwa kabla haijavuka saa 6 kuingia tarehe 2 haya mambo ni yakutisha sana.

Kuna watu watachukulia swala hili ni kama ajari ya kawaida Watanzania miujiza na keki anazotoa mwamposa hazitoki Bure labda nifichue kulikuwa kuna watu wanafia kwenye makanisa bila kutangazwa ila hili Mungu kaamua kulianika waziwazi maana umefika muda Watanzania hasa wanawake wakombolewe na kinywa cha nyoka wa aina hii.
Haya mambo ni ya kutisha.

Watanzania zile keki ambazo Mwamposa alikuwa anawapa waumini wake ni sawa na kufanya maagano ambayo ni sawa na kuumega mkate ila wao wanafanya keki kama meza ya bwana ambayo ndani yake uwe umebatizwa au haujabatizwa hadi watoto wadogo wanapokula keki au kukanyaga mafuta akili zote huwa zinachukuliwa na kufichwa mahali nitapahifadhi kwa sasa.

Na ukichukua hiyo keki au mafuta hayo ukampa mtu asiyekuwa na imani huvutwa na nguvu ya keki au mafuta hayo hadi kanisani hapo, hivyo wote wanaosalia hapo hata useme nini kuja kujitambua au kuchomoka hapo ni vigumu sana maana ufahamu wake umefichwa mahali baada ya kukanyaga mafuta au kula keki.
Haya mambo ni ya kutisha.

Watanzania ili nguvu ziongezeke, Mwamposa lazima awapande/alale na wanawake ndio maana anajiita
BULLDOZER ambapo akishiriki ngono na wanawake 20 zile nguvu zinasambaa kuwashika jinsia za wanawake maelfu kwa maelfu kwenye makanisa yake haya.

Mambo yote nayajua na kama atabisha mimi ninao ushahidi mkubwa sana na ukweli ni kwamba wanawake wanaolala na Mwamposa hawawezi kusema maana ufahamu umefungwa ubongo na ufahamu.
Haya mambo ni ya kutisha.



Na.
Dr. William Mtanzania Wa USA America
 
Ila kwa hiyo picha hapo juu uuh, haiwezekani ushike huku na kule halafu useme ni upako, upako gani wa mikono miwili yote ipo kazini, tena maeneo nyeti!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona topic hii kwa page ya jamaa anajiita Dr Williams nikaswma ngoja wajuzi tuipime, maana ndugu zetu wameumia mkoani Kilimanjaro.

View attachment 1345150

Picha hii 👆 haina uhusiano na topic iliyopo 👇 hapa, imewekwa kutokana na tabia za hawa vilaza wa injiri wanavyofanya.

Twende pamoja👇
Watanzania tarehe 1 ni namba iliyobeba maagano makubwa, siwafichi kwa kitendo alichokifanya Mwamposa ana nguvu ya kufunika viongozi wa serikali macho na akili wasilifatilie suala hili kwa serous kama watanzania hawatakemea haya mambo ni yakutisha sana.

Tukio limetokea tarehe 1 mwezi 2 ilikuwa kabla haijavuka saa 6 kuingia tarehe 2 haya mambo ni yakutisha sana.

Kuna watu watachukulia swala hili ni kama ajari ya kawaida Watanzania miujiza na keki anazotoa mwamposa hazitoki Bure labda nifichue kulikuwa kuna watu wanafia kwenye makanisa bila kutangazwa ila hili Mungu kaamua kulianika waziwazi maana umefika muda Watanzania hasa wanawake wakombolewe na kinywa cha nyoka wa aina hii.
Haya mambo ni ya kutisha.

Watanzania zile keki ambazo Mwamposa alikuwa anawapa waumini wake ni sawa na kufanya maagano ambayo ni sawa na kuumega mkate ila wao wanafanya keki kama meza ya bwana ambayo ndani yake uwe umebatizwa au haujabatizwa hadi watoto wadogo wanapokula keki au kukanyaga mafuta akili zote huwa zinachukuliwa na kufichwa mahali nitapahifadhi kwa sasa.

Na ukichukua hiyo keki au mafuta hayo ukampa mtu asiyekuwa na imani huvutwa na nguvu ya keki au mafuta hayo hadi kanisani hapo, hivyo wote wanaosalia hapo hata useme nini kuja kujitambua au kuchomoka hapo ni vigumu sana maana ufahamu wake umefichwa mahali baada ya kukanyaga mafuta au kula keki.
Haya mambo ni ya kutisha.

Watanzania ili nguvu ziongezeke, Mwamposa lazima awapande/alale na wanawake ndio maana anajiita
BULLDOZER ambapo akishiriki ngono na wanawake 20 zile nguvu zinasambaa kuwashika jinsia za wanawake maelfu kwa maelfu kwenye makanisa yake haya.

Mambo yote nayajua na kama atabisha mimi ninao ushahidi mkubwa sana na ukweli ni kwamba wanawake wanaolala na Mwamposa hawawezi kusema maana ufahamu umefungwa ubongo na ufahamu.
Haya mambo ni ya kutisha.



Na.
Dr. William Mtanzania Wa USA America
Ngoja nichangie mada hii kama MUKARUKA MZEE (New Member) au kama MZEE MUKARUKA (JF EXPERT, OLD MEMBER!) ambaye uanachama wangu umedhulumika bila sababu yoyote, etitubaada ya system kutokunitambua baada ya kuingia kupitia my new PC! Hata nilipoingia kwa PASSWORD niliyopewa na JF wenyewe ikashindikana. Anyway hili ni hilo, nadahani viongozi wa JF wataliangalia na kuniridishia uanachama wangu wa zamani!

Kuhusu hili janga lililolifika Taifa letu, la vifo hivyo huko Moshi ni kweli haya ni mambo ya KUTOA KAFARA KWA NGUVU ZA GIZA, Damu ni muhimu sana kwenye mapatano ya aina yoyote ya KIIMANI. Sisi Wakristo, tuliokoka tunaamini katika NGUVU NA UWEZA WA DAMU YA YESU ILIYOMWAGIKA PALE KALVARI. Tuna aminiilituokoa na kutukomboa kutoka kwenye dhambi na vifungo vya muovu Shetani. Hiyo ndiyo imani yetu. Wale wa upande mwingine wa Shetani nao hutumia DAMU ya wanyama aua binadamu kuimarisha mahusiano ya KICHAWI NA KISHETANI. Hili la vifo vya Moshi ni mfano waziwazi na hai katika kuimarisha mahusiano hayo kwa hawa waitwao "watumishi wa mungu" wa aina ya akina bulldozer. Mungu wetu wa kweli atusaidiane ili ukweli wa haya mambo uwe hadharani kama hivi lilivyotokea huko Moshi.
 
Nimependa hako ka msemo haya mambo ni ya kutisha!anavyokarudia rudia
Nadhani sasa wakuu tukarasimishe kawe kamsemo rasmi
HAYA MMBO NI YA KUTISHA in Dr voice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imani na damu ya Yesu wmnayoisema na kuihubiri ipo midomoni tu,lkn walokole wote kimatendo hampo tofauti na mwamposa,ninyi ni wale wale
Ushirikina kwa kivuli cha ukristo,msingi wa imani wa kila mlokole ni MIUJIZA,
Nambie ni dhehebu kibanda gani la kilokole unaweza usikute hizi mambo za kila kitu pokeaaa! Pokeaaaaa!,watu wanaombea hata Yale yanayotatuliwa na akili tu
Ngoja nichangie mada hii kama MUKARUKA MZEE (New Member) au kama MZEE MUKARUKA (JF EXPERT, OLD MEMBER!) ambaye uanachama wangu umedhulumika bila sababu yoyote, etitubaada ya system kutokunitambua baada ya kuingia kupitia my new PC! Hata nilipoingia kwa PASSWORD niliyopewa na JF wenyewe ikashindikana. Anyway hili ni hilo, nadahani viongozi wa JF wataliangalia na kuniridishia uanachama wangu wa zamani!

Kuhusu hili janga lililolifika Taifa letu, la vifo hivyo huko Moshi ni kweli haya ni mambo ya KUTOA KAFARA KWA NGUVU ZA GIZA, Damu ni muhimu sana kwenye mapatano ya aina yoyote ya KIIMANI. Sisi Wakristo, tuliokoka tunaamini katika NGUVU NA UWEZA WA DAMU YA YESU ILIYOMWAGIKA PALE KALVARI. Tuna aminiilituokoa na kutukomboa kutoka kwenye dhambi na vifungo vya muovu Shetani. Hiyo ndiyo imani yetu. Wale wa upande mwingine wa Shetani nao hutumia DAMU ya wanyama aua binadamu kuimarisha mahusiano ya KICHAWI NA KISHETANI. Hili la vifo vya Moshi ni mfano waziwazi na hai katika kuimarisha mahusiano hayo kwa hawa waitwao "watumishi wa mungu" wa aina ya akina bulldozer. Mungu wetu wa kweli atusaidiane ili ukweli wa haya mambo uwe hadharani kama hivi lilivyotokea huko Moshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imani na damu ya Yesu wmnayoisema na kuihubiri ipo midomoni tu,lkn walokole wote kimatendo hampo tofauti na mwamposa,ninyi ni wale wale
Ushirikina kwa kivuli cha ukristo,msingi wa imani wa kila mlokole ni MIUJIZA,
Nambie ni dhehebu kibanda gani la kilokole unaweza usikute hizi mambo za kila kitu pokeaaa! Pokeaaaaa!,watu wanaombea hata Yale yanayotatuliwa na akili tu

Sent using Jamii Forums mobile app
popbwinyo, unachosema au unacho fikiria ni kweli kabisa, hasa hasa ukitilia maanani ule msemo wetu wa "samaki mmoja akioza wote wameoza"! Na hao wanaotaka "pokeaaaaaa" ndiyo matokeoyake hayo ya Moshi. Ni kweli kuna mambo unayoweza kufanikiwa kwa kutumia AKILI ULIZOPEWA NA MUNGU WETU, badal aya kutegemea vitu vya "upako" kama mafuta, maji, sabuni na vingine vingi. Halafu kuna tofauti kubwa sana kati ya 'walokole" na "waliookoka".Hawa ni watu wawili tofauti, NA HILO NI SOMO JINGNE AU SIYO popbwinyo!
 
Hivi hatujiulizi?
Huo upako wao hufanyi kazi hospitali mpaka kwenye mikutano tu,
Kwa nini wasianzishe huduma ya kuombea wagonjwa hospitali km walivyokuwa wakifanya mapadre zamani,
Halafu baada ya tukio si ndo ulikuwa muda wa kuapply wanachohubiri cha kuponya?,mbona walikimbia,mbona walipaniki,mbona hawakufufua ama kuponya,mbona walikimbilia tena hospitali?
popbwinyo, unachosema au unacho fikiria ni kweli kabisa, hasa hasa ukitilia maanani ule msemo wetu wa "samaki mmoja akioza wote wameoza"! Na hao wanaotaka "pokeaaaaaa" ndiyo matokeoyake hayo ya Moshi. Ni kweli kuna mambo unayoweza kufanikiwa kwa kutumia AKILI ULIZOPEWA NA MUNGU WETU, badal aya kutegemea vitu vya "upako" kama mafuta, maji, sabuni na vingine vingi. Halafu kuna tofauti kubwa sana kati ya 'walokole" na "waliookoka".Hawa ni watu wawili tofauti, NA HILO NI SOMO JINGNE AU SIYO popbwinyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona hamkusema kabla ya hili. yaani unasubiri maafa yatokee ndio unadai una ushahidi!!
hakuna tofauti na yale ya kibwetere
Mkuu mbona huyu jamaa alisema kabla ya tukio kujili, mimi naweza kusema Afrika ndiyo bado tupo nyuma kwa vyombo vyetu vya ulinzi kufuatilia fununu.
**Haya mambo ni ya kutisha
 
Nimependa hako ka msemo haya mambo ni ya kutisha!anavyokarudia rudia
Nadhani sasa wakuu tukarasimishe kawe kamsemo rasmi
HAYA MMBO NI YA KUTISHA in Dr voice
Sijakusoma mkuu na huu msemo unaotaka kuurasimisha, sijauona kwenye comments zako.
"Haya mambo ni ya kutisha"​
 
Back
Top Bottom