Kwanini mwanadamu anashindwa kuumba

Kwanini mwanadamu anashindwa kuumba

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,753
Reaction score
9,575
habari

Wadau nataka tujuzane hapa kwanini wanadamu wanashindwa kuumba wakati uwezo wa kiungu uko juu yao na wakitamka kitu kinatendeka

mfano: mtu anaweza kumtamkia laana mwenzake na ikampata na kutimia sasa iweje ashindwe
kuumba kitu au mtu kama sisi tuliumbwa kwa mfano wa Mungu na tunaitwa watoto wa Mungu
nauliza tu hapa kwanini tunashindwa kuumba nasi tukawa na kujivuinia

Mfano mwingine madaktari wanaweza kupachika kitu kwa mwanadamu na kikafanya kazi je
uwezo wa kuumba kabisa kwanini hawana?

Tusaidiane hapa nakosa jibu liliokinzaniki KWANINI MWANADAMU ANASHINDWA KUUMBA MTU?

Karibuni wadau
 
Nisaidie hapa kwanza kuumba ni kufanya nini..?
 
Mwanadamu hawezo kuumba kwa sababu hutumia vitu vilivyo kwenye mazingira yake ambavy amevikuta.

Aidha mwanadamu hawezi kuumba kwa sababu hana uwezo wa kuleta vitu Kutoka sehemu isiyokuwepo(From no where). Wakati Mungu huweza kutaja kitu chochote ambacho hakipo kikawepo tofauti na wanadamu ambao hutumia kitu kilichopo kutengeneza kitu ambacho hakipo.
 
Mwanadamu hawezo kuumba kwa sababu hutumia vitu vilivyo kwenye mazingira yake ambavy amevikuta.

Aidha mwanadamu hawezi kuumba kwa sababu hana uwezo wa kuleta vitu Kutoka sehemu isiyokuwepo(From no where). Wakati Mungu huweza kutaja kitu chochote ambacho hakipo kikawepo tofauti na wanadamu ambao hutumia kitu kilichopo kutengeneza kitu ambacho hakipo.
unaweza kuniambia na kunithibitishia ni kitu gani Mungu ameumba na kutoa kitu hicho from no where..?
 
habari

Wadau nataka tujuzane hapa kwanini wanadamu wanashindwa kuumba wakati uwezo wa kiungu uko juu yao na wakitamka kitu kinatendeka

mfano: mtu anaweza kumtamkia laana mwenzake na ikampata na kutimia sasa iweje ashindwe
kuumba kitu au mtu kama sisi tuliumbwa kwa mfano wa Mungu na tunaitwa watoto wa Mungu
nauliza tu hapa kwanini tunashindwa kuumba nasi tukawa na kujivuinia

Mfano mwingine madaktari wanaweza kupachika kitu kwa mwanadamu na kikafanya kazi je
uwezo wa kuumba kabisa kwanini hawana?

Tusaidiane hapa nakosa jibu liliokinzaniki KWANINI MWANADAMU ANASHINDWA KUUMBA MTU?

Karibuni wadau

Nitamkie baraka na kupata pesa mdada naamin kinywa chako kitaumba
 
Nisaidie hapa kwanza kuumba ni kufanya nini..?

Kuumba kwa Mungu kulifanyika kwa namna mbili. Moja kufanya vile ambavyo havipo viweko pasi na kutumia kitu chochote ex-nihilo na; Pili kufanya vile ambavyo haviko viwepo kwa kutumia kifaa ama kitu kilichopo yaani in-nihilo.
 
Hilo la laana umetudanganya, hakuna kitu kama kumtamkia mtu kitu alafu kikatokea, hua ni coincidence tu. Ingekua kweli leo hii ningekua sina hata shilingi kumi maana nimetamkiwa mabaya mengi mno.

Tukirudi kwenye kuumba, nadhani unaongelea kuumba kiumbe kama binadamu au mnyama, inabidi uweke mawazo ya ushirikina pembeni, huwezi tamka tu kitu kikatengenezeka, sound waves ni waves tu zinacause vibrations kwenye air molecules, hazina uwezo wa kujitransform na kutengeneza madini yakaunganika kua kiumbe, wanasayansi bado wanajaribu kutengeneza kiungo kimoja kimoja, mfano kuna artificial heart, skin e.t.c ni vitu complex sana maana ili utengeneze kitu inabidi ujue vizuri kinavyofanya kazi, bado vitu vingi hatuvielewi kiundani lakini tunajaribu kuvielewa, ipo siku uwezo utakuwepo wa kumanufacture karibia kila kiungo cha mwili, ukivunjika mguu tutakua tunakupachina mwingine na unapiga kazi vizuri tu. Tunahitaji karne nyingine ya development kufikia level hiyo.
 
dahwewe umemuumba mungu endelea kumfanyia mungu zihaka jua mungu hachezewi
Ni Kweli,Kila Kabila Lina Mungu Wake,Kila Taifa Lina Mungu!
Mungu ni Matokeo ya Maendeleo ya Kila Jamii:
a)Wahindu Wanamwabudu Ng'ombe
b)Wafilisti Walimwabudu Dagoni!
c)Wayahudi Wanamwabudu Yehova/Yesu
d)Waafrika Wana Miungu Yao
 
Kha!!!
"nithibitishie kuwa duniani kuna mapenzi"

Ee yapo kwenye kitabu cha ngoswe penzi kitovu cha uzembe..!

Hahaahaa!!

Upo wakati utajua yote kwa sasa baki njia panda katika utambuzi wako
 
dahwewe umemuumba mungu endelea kumfanyia mungu zihaka jua mungu hachezewi

Nadhani hujanielewa. Namaanisha Concept ya Mungu imeanzishwa na mwanadamu mwenyewe, tumeiumba sisi in our minds. Na hivi sasa tunaishi kwa kuiona hivyo na kusahau its man made. We have created it by ourselves.

 
Back
Top Bottom