Kwanini Mwandishi Yerico Nyerere anaamini Mwigulu amefeli katika mipango na sera za kiuchumi?

Kwanini Mwandishi Yerico Nyerere anaamini Mwigulu amefeli katika mipango na sera za kiuchumi?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mwandishi Yerico Nyerere ameandika makala ndefu katika mitandao ya kijamii akichambua uchumi wa Tanzania katika kipindi ambacho Mwigulu ni Waziri wa fedha.

Yerico anaamini Mwigulu ameshindwa kushawishi uwepo wa sera za kiuchumi zinazowapa confidence wawekezaji wakubwa. Ameeleza kwamba Tanzania ina sera za kiuchumi zisizotabirika hivyo kushindwa kuvutia wawekezaji serious wenye malengo ya muda mrefu.

Je, tatizo ni Waziri wa fedha au tatizo ni mfumo wetu wa kisiasa?
 
Wao wameshindwa hiyo tasinia ya maigizo nayo ni @Dr Mwigullu Nchemba?

Kama ana ubavu aongeze mali asili zetu kuporwa.

Hata wamemkataa kule kwenye ukoo wa baba wa Taifa ni sawa tu.
 
Mwandishi Yerico Nyerere ameandika makala ndefu katika mitandao ya kijamii akichambua uchumi wa Tanzania katika kipindi ambacho Mwigulu ni Waziri wa fedha. Yerico anaamini Mwigulu ameshindwa kushawishi uwepo wa sera za kiuchumi zinazowapa confidence wawekezaji wakubwa. Ameeleza kwamba Tanzania ina sera za kiuchumi zisizotabirika hivyo kushindwa kuvutia wawekezaji serious wenye malengo ya muda mrefu.

Je, tatizo ni Waziri wa fedha au tatizo ni mfumo wetu wa kisiasa?
Tozo zisizoeleweka
Kupaa kwa deni la taifa
Kukosa Mipango endelevu ya kujenga uchumi
Nk
 
Mwandishi Yerico Nyerere ameandika makala ndefu katika mitandao ya kijamii akichambua uchumi wa Tanzania katika kipindi ambacho Mwigulu ni Waziri wa fedha. Yerico anaamini Mwigulu ameshindwa kushawishi uwepo wa sera za kiuchumi zinazowapa confidence wawekezaji wakubwa. Ameeleza kwamba Tanzania ina sera za kiuchumi zisizotabirika hivyo kushindwa kuvutia wawekezaji serious wenye malengo ya muda mrefu.

Je, tatizo ni Waziri wa fedha au tatizo ni mfumo wetu wa kisiasa?
Watanzania tusihamini na kupotoshwa na kila tunachosoma kilichoandikwa na wasomi uchwara,kabla ya kumuhukumu Mwigulu.

Tujiulize ukweli kuhusu huyu Yeriko, je ana elimu sahihi ya kutueleza kuhusu uchumi ? (Economics).Au ndio hizi elimu za hapa na pale zisizoeleweka?

Ni kweli Dr Mwigulu ana mapungufu kwenye utendaji, lakin je huyu Yeriko anajua economics vizuri na ana weledi?
Hoja ya kwanza ni kutaka kujua je Yeriko ana degree ya uchumi? Au ana elimu ya hapa na pale tu? Huyu hata jina amefeki.
 
Mwandishi Yerico Nyerere ameandika makala ndefu katika mitandao ya kijamii akichambua uchumi wa Tanzania katika kipindi ambacho Mwigulu ni Waziri wa fedha. Yerico anaamini Mwigulu ameshindwa kushawishi uwepo wa sera za kiuchumi zinazowapa confidence wawekezaji wakubwa. Ameeleza kwamba Tanzania ina sera za kiuchumi zisizotabirika hivyo kushindwa kuvutia wawekezaji serious wenye malengo ya muda mrefu.

Je, tatizo ni Waziri wa fedha au tatizo ni mfumo wetu wa kisiasa?
Hakuna mwekezaji mwenye akili timamu atakuja kwenye nchi ambayo sera zake zinategemea Rais aliyepo madarakani ameamkaje na siyo dira ya taifa
 
Watanzania tusihamini na kupotoshwa na kila tunachosoma kilichoandikwa na wasomi uchwara,kabla ya kumuhukumu Mwigulu.

Tujiulize ukweli kuhusu huyu Yeriko, je ana elimu sahihi ya kutueleza kuhusu uchumi ? (Economics).Au ndio hizi elimu za hapa na pale zisizoeleweka?

Ni kweli Dr Mwigulu ana mapungufu kwenye utendaji, lakin je huyu Yeriko anajua economics vizuri na ana weledi?
Hoja ya kwanza ni kutaka kujua je Yeriko ana degree ya uchumi? Au ana elimu ya hapa na pale tu? Huyu hata jina amefeki.
Bado una mawazo ya kijinga sn, Bakhresa ana degree ya uchumi?Mwigulu na Bakhresa nani mchumi wa kweli kati yao? bado tumekariri elimu ya makaratasi, ukimweka Msukuma na Lipumba nani mwenye elimu ya uchumi? elimu yetu hii ya kukariri unampa mtu anakufanyia dissertation nayo ni elimu! Twendeni kwenye uhalisia na siyo hizi PhD za kununua
 
Ningekuwa Rais wa hii nchi, kuna watu wangeusikia tu huo Uwaziri kwenye bomba. Mmojawapo ni huyu jamaa mnayemjadili hapa. Wengine ni wale wanaopenda kugalagala hovyo kwenye mavumbi.
Ni utapeli tapeli tu lakini hakuna la maana anafanya kwenye nchi, Mwigulu anaishi kwa ujanja ujanja pekee sababu ya mifumo yetu ya hovyo
 
Siku mbwa akianza kuuma ndio uchumi utainuka.

Sasa anabweka tu na hana madhara.
IMG-20241015-WA0008.jpg
 
Anajua kuongeza thamani ya shilingi ni kukopa na kuongeza matozo tu, mchumi 1st class ya jalalani!
 
Bado una mawazo ya kijinga sn, Bakhresa ana degree ya uchumi?Mwigulu na Bakhresa nani mchumi wa kweli kati yao? bado tumekariri elimu ya makaratasi, ukimweka Msukuma na Lipumba nani mwenye elimu ya uchumi? elimu yetu hii ya kukariri unampa mtu anakufanyia dissertation nayo ni elimu! Twendeni kwenye uhalisia na siyo hizi PhD za kununua
Inaonekana umesomea shule za kata. Sio rahisi katika hii dunia kufanya analysis za uchumi bila kujua theory zake. Huyo Bakheresa baada ya kuwa, mkubwa kwa sasa,ana wanauchumi wake wa makaratasi wanaojua theory za uchumi na wanaoweza kuelewana na wanauchumi wa dunia hii.

Halafu ndugu yangu inaonekana huna weledi kabisa kuhusu elimu ya uchumi. Unasema Musukuma na Lipumba, kwamba Musukuma kwa kuwa ana fedha basi anajua uchumi kuliko Lipumba. Huo ni Umbumbumbu wa hali ya juu Sana. Lipumba ni Prof wa uchumi na alishatumika mpaka Uganda kwa Museveni. Anajua vizuri theory za uchumi.

Nilivyokuelewa ni kwamba hata ukiiba na kuwa na matrion ya pesa basi unajua uchumi. Mfano :Kuna watu wana mabilion ya pesa, wameiba serikalin kwa, hiyo hao wanajua uchumi kuliko Lipumba . Huo ni Umbumbumbu.
 
Mwandishi Yerico Nyerere ameandika makala ndefu katika mitandao ya kijamii akichambua uchumi wa Tanzania katika kipindi ambacho Mwigulu ni Waziri wa fedha. Yerico anaamini Mwigulu ameshindwa kushawishi uwepo wa sera za kiuchumi zinazowapa confidence wawekezaji wakubwa. Ameeleza kwamba Tanzania ina sera za kiuchumi zisizotabirika hivyo kushindwa kuvutia wawekezaji serious wenye malengo ya muda mrefu.

Je, tatizo ni Waziri wa fedha au tatizo ni mfumo wetu wa kisiasa?
Viongozi ambao ni wachumi wabobezi wapo wengi tu.
 
Mwigulu ama kuna makosa kadhaa anafanya, ila Yeriko Nyerere hana weledi wa ufahamu wa uchumi kumkosoa Mwigulu.
 
Back
Top Bottom