Pre GE2025 Kwanini mwenezi CCM, Makalla na Katibu Mkuu Nchimbi wamepooza sana kuelekea uchaguzi mkuu ujao?

Pre GE2025 Kwanini mwenezi CCM, Makalla na Katibu Mkuu Nchimbi wamepooza sana kuelekea uchaguzi mkuu ujao?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mwananyaso

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
2,995
Reaction score
3,401
Hawa viongozi toka wameanza ziara za kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi kwa kigezo cha faragha na kisayansi kwa kweli wamefeli pakubwa sana.

Wametatua kero ngapi mpaka sasa, hakuna ushuhuda wa mafanikio ya ziara yao.

Tutegemee kubumbwa kwa takwimu za mafanikio ya ziara yao.
Mwisho rais Samia kaingizwa chaka teuzi za hawa viongozi.
Makalla Dar ilimshinda, akapelekwa mwanza akachemka, leo eti mwenezi CCM?, anguko la chama tawala laja.

ANC cha afrika kusini kimeshanyolewa
 
Hawa viongozi toka wameanza ziara za kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi kwa kigezo cha faragha na kisayansi kwa kweli wamefeli pakubwa sana,

Wametatua kero ngapi mpaka sasa, hakuna ushuhuda wa mafanikio ya ziara yao.

Tutegemee kubumbwa kwa takwimu za mafanikio ya ziara yao
Mwisho rais Samia kaingizwa chaka teuzi za hawa viongozi,
Makalla Dar ilimshinda, akapelekwa mwanza akachemka, leo eti mwenezi CCM?, anguko la chama tawala laja,

ANC cha afrika kusini kimeshanyolewa
Hawana jipya zaidi ya kucheka kama matangazo ya voda bima
 
Hawa viongozi toka wameanza ziara za kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi kwa kigezo cha faragha na kisayansi kwa kweli wamefeli pakubwa sana,

Wametatua kero ngapi mpaka sasa, hakuna ushuhuda wa mafanikio ya ziara yao.

Tutegemee kubumbwa kwa takwimu za mafanikio ya ziara yao
Mwisho rais Samia kaingizwa chaka teuzi za hawa viongozi,
Makalla Dar ilimshinda, akapelekwa mwanza akachemka, leo eti mwenezi CCM?, anguko la chama tawala laja,

ANC cha afrika kusini kimeshanyolewa
Waache wapooze. Kwani kwenye uchaguzi kunahitajika nini?

Ni bora kutumia akili na maarifa kuliko mabavu na matusi kama alivyofanya yule DIKTETA wa Chato. Siasa za KIPUMBAVU za Makonda na Magufuli hazina nafasi kwa wakati huu.

Tanzania ni yetu sote, wana CCM na wapinzani. Tushindane kwa sera na siyo matusi na kuuana. Atakeyeshinda aongoze nchi, hakuna mwenye HATIMILIKI ya kutawala Tanzania

Angalia Magufuli aliyetaka kumuua Lissu kwa ajili ya uchaguzi yuko wapi sasa?
 
Back
Top Bottom