GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sijui ni kwanini nimekuwa ni ' Mtu ' mwenye Huruma sana na ' Mtu ' mwenye Kusahau yale ' mabaya ' yote niliyotendewa na Watu mbalimbali. Na kuna ' Mtu ' mmoja pia aliwahi kuniambia ya kwamba Wema wangu ( Roho yangu nzuri Kiubinadamu ) ndiyo inanimaliza na kuniponza mara kwa mara hivyo nianze kufanya ' Mazoezi ' ya kuwa ' Mtu ' mwenye Roho mbaya na Katili kabisa kwani ndiyo nitafanikiwa zaidi na haraka.
Je ni kwanini Mwenyezi Mungu aliniiumba na hii Roho? Je hawezi kubadili gia angani ili kuanzia sasa na Mimi nikawa na Roho ya Kishalubela / Kikatili ili nianze kwenda sawa na Wale wote ambao huwa wananikosea? Na je Mwenyezi Mungu amekubali Mimi kuwa na hii Roho nzuri na ya Utu kwa Wanadamu Wenzangu ambao Wao malipo yao Kwangu huwa ni ya Kikatili na ya Kunitenda?
Kama kuna Mtu anajua dawa ya kunibadili niwe na Roho mbaya na ya Kikatili kuanzia sasa naomba aniambia nikainunue.
Nawasilisha.
Je ni kwanini Mwenyezi Mungu aliniiumba na hii Roho? Je hawezi kubadili gia angani ili kuanzia sasa na Mimi nikawa na Roho ya Kishalubela / Kikatili ili nianze kwenda sawa na Wale wote ambao huwa wananikosea? Na je Mwenyezi Mungu amekubali Mimi kuwa na hii Roho nzuri na ya Utu kwa Wanadamu Wenzangu ambao Wao malipo yao Kwangu huwa ni ya Kikatili na ya Kunitenda?
Kama kuna Mtu anajua dawa ya kunibadili niwe na Roho mbaya na ya Kikatili kuanzia sasa naomba aniambia nikainunue.
Nawasilisha.