johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimewasikia baadhi ya viongozi wa Bakwata mkoani Shinyanga kupitia ITV wakilalamika kupotea kwa sukari na mfumuko wa bei za vyakula wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Viongozi hao wanadai wafanyabiashara wasio waaminifu wameficha sukari ili waje waiuze kwa bei ya juu pindi mfungo utakapofika siku chache zijazo.
Najiuliza tu kwanini vyakula vipande bei wakati wa mfungo ikitiliwa maanani walaji wa mchana wanakuwa wamepungua sana?
Maendeleo hayana vyama!
Viongozi hao wanadai wafanyabiashara wasio waaminifu wameficha sukari ili waje waiuze kwa bei ya juu pindi mfungo utakapofika siku chache zijazo.
Najiuliza tu kwanini vyakula vipande bei wakati wa mfungo ikitiliwa maanani walaji wa mchana wanakuwa wamepungua sana?
Maendeleo hayana vyama!