Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa. Siyo bure huyu ndugu. Siyo kuwa hawajui bali ni kibri tu.Anajua huko sio kwa Wajinga kama Burundi.
Na labda kwasababu anajua tume itambeba na sisi Mapolisi watatupiga.Itakuwa. Siyo bure huyu ndugu. Siyo kuwa hawajui bali ni kibri tu.
Bila kujizatiti kuwatolea uvivu hawa ndugu tujiandae kufanywa lolote. Hawana dini hawa. Na huo ndiyo ulio ukweli mchungu.Na labda kwasababu anajua tume itambeba na sisi Mapolisi watatupiga.
Hapo ndipo unajikuta peke yako na bango lako huku umezungukwa na Mapolisi.Bila kujizatiti kuwatolea uvivu hawa ndugu tujiandae kufanywa lolote. Hawana dini hawa. Na huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
Hapo ndipo unajikuta peke yako na bango lako huku umezungukwa na Mapolisi.
Lakini Yanga ikishinda tunaandamana kwa maelfu.
Leo kwenye kijiwe cha kahawa nimekuta kuna kuna jamaa anamtetea sana Waziri wa Tozo nikamuuliza jina lake akaniambia anaitwa Mkumbo 😂Pana haja ya kujizatiti kuondokana na unyonge huu. Ukombozi una gharama zake. Na nchi itakombolewa na wenye moyo, siyo na ming'ombe.
Hiyo ndiyo ile ming'ombe sasa ambayo hadi tutakapo jitenga nayo kwa vitendo sote tutaendelea kusomeka kuwa kama yenyewe tu.Leo kwenye kijiwe cha kahawa nimekuta kuna kuna jamaa anamtetea sana Waziri wa Tozo nikamuuliza jina lake akaniambia anaitwa Mkumbo 😂
Huyu Rais wa Zambia ni mwanamitandao.Amesikika Mwigulu kila anapotusokomeza tozo akijimwambafy. Kama hatutaki tuhamie Burundi.
Kwanini siyo Zambia ambako utawala wa haki kwa sasa ndiyo kwao?
View attachment 2328667
View attachment 2328668
View attachment 2328679
Kwanini kutuchulia hivi huyu ndugu?
Kwa kutuona je haswa?
Kwa nini mkuu?Huyu Rais wa Zambia ni mwanamitandao.
Muda mwingi yupo busy twitter hana utofauti na Donald Trump. anatwitt vitu vya kuonesha public sympathy kwa Zambia na kwa dunia ili aonekane Rais bora na mpenda demokrasia naona ana tafuta wajinga wa kuwateka .Kwa nini mkuu?