Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Wanaita 'star look' right? YES!
”Leo kwenye ustaa simo kisa sina mwonekano!” ~Msodoki.
Sikuwahi kuwaza hili, japo hisia tu na kuona kila 'msanii' anahangaikia mwonekano fulani. Iwe ni msanii wa kuimba au filamu, ukiacha sanaa za asili na wale wacheshi ambao nao wanajua wenyewe.
Sasa nikaisikia kupitia Bongo Star Search, BSS. Kwamba sio tu uwezo wa sauti na kuimba, bali unahitaji kuwa na 'a star look' ili uuzike!
Hii maana yake nini, mbona tunaona wasanii wengi tu wenye mionekano ya kawaida! Au ndo sababu ya kuvaa miwani na mavazi ya ajabu ajabu?
Swali la msingi:
Mwonekano unahusiana vipi na kazi ya sanaa?
”Leo kwenye ustaa simo kisa sina mwonekano!” ~Msodoki.
Sikuwahi kuwaza hili, japo hisia tu na kuona kila 'msanii' anahangaikia mwonekano fulani. Iwe ni msanii wa kuimba au filamu, ukiacha sanaa za asili na wale wacheshi ambao nao wanajua wenyewe.
Sasa nikaisikia kupitia Bongo Star Search, BSS. Kwamba sio tu uwezo wa sauti na kuimba, bali unahitaji kuwa na 'a star look' ili uuzike!
Hii maana yake nini, mbona tunaona wasanii wengi tu wenye mionekano ya kawaida! Au ndo sababu ya kuvaa miwani na mavazi ya ajabu ajabu?
Swali la msingi:
Mwonekano unahusiana vipi na kazi ya sanaa?