kwenda21 JF-Expert Member Joined Mar 11, 2014 Posts 3,423 Reaction score 3,414 Jun 7, 2020 #1 Mzazi anakuchapa si kwa ajili ya kukuonya, anakuchapa kwa kuwa unakula ugali wake, kukupiga ni kutuliza machungu tu hakuna lingine
Mzazi anakuchapa si kwa ajili ya kukuonya, anakuchapa kwa kuwa unakula ugali wake, kukupiga ni kutuliza machungu tu hakuna lingine
kwenda21 JF-Expert Member Joined Mar 11, 2014 Posts 3,423 Reaction score 3,414 Jun 7, 2020 Thread starter #2 Wewe hapo ndo nyungu,kuna uhusino gani kumpiga Mtoto na kuelewa,mbona kanisani hawachapi,