Kwanini mzee small hakuagwa leaders?

Kwanini mzee small hakuagwa leaders?

JOSE MOURINHO

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2013
Posts
231
Reaction score
74
Hivi ni Kwanini mzee small kazikwa bila kuagwa viwanja vya leaders kama wanavyofanyiwa wasanii wengine?
 
Kuagwa kwa waislamu ni kushiriki mazishi kutoka nyumbani kuelekea kaburini. Haina shobo wala nini. Ukijifia umejifia tu, sherehe zenu hazimhusu katu.
 
Acha usenge ww,inamaana wakristo wanaoagwa ma makafiri.....kuwa na heshma na dini za watu

KAFIRI NI NANI?
Naanza kwa jina la Mwenyezi Mungu ambaye hakuzaa na wala hakuna anayefanana nae..

Watu wengi huchukia na wengine kupigana kisa kaitwa kafiri.
wengi hufata mkumbo tuu bila kujua maana halisi ya neno Kafiri.

Kafir(i) ni neno linaloweza kutumika katika namna mbalimbali kama ifuatavyo:
>> Huko Indonesia na Malaysia kuna aina ya limao liitwalo Kaffir lime (hutamkwa kafiri) na scientific name ni Citrus hystrix, aina hii ya limao huwa na mabunyebunye (rough and bumpy) ni kama vile uso wa mtu mwenye chunusi.

>> Ukiangalia katika Wikipedia unagundua kuwa katika kipindi cha ukoloni huko Africa Kusini, mabwana shamba wa kikaburu walikuwa wakiwaita watu weusi hasa ambao sio wakristo (Waislamu na dini nyingine) kuwa ni makafiri.

>> Bado tukiendelea kuangalia katika wikipedia utakuta neno Kaffir ni neno la kiarabu lenye maana “non believer” yaani asiye muumini/mpingaji au mpinzani (protestant) wa dini flani. Na neno hili la kiarabu hutumika mara nyingi na waislamu dhidi ya waumini wa dini nyingine (non-muslims)..
Hivyo HILI SIO TUSI kama wengi wamekuwa akidhani na ninaomba tuwaeleweshe na wenzetu ili waache kuchukia pindi waitwapo makafiri

>> Tukirudi katika kitabu kitukufu cha Quran, tunapata ushahidi kuwa hatuwaiti hivyo kwa utashi wetu bali ni MwenyeziMungu (Allah) mwenyewe ndo kasema katika kitabu hicho kitakatifu cha Quran 5:72-73 kama ifatavyo;

QURAN 5:72-73
72. Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu!
Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru.
TAFSIRI:
Wenye kudai kuwa Mwenyezi Mungu yu katika Isa bin Maryam hata akawa yeye Mungu, kama wasemavyo Wakristo hii leo, hakika wamekufuru! Yeye Isa hana dhambi ya haya, kwani hakupata kudai hivyo hata mara moja. Bali yeye aliwaamrisha Wana wa Israili wamsafie imani Mwenyezi Mungu peke yake kwa kusema: Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye niumba mimi na nyinyi, na ndiye anaye niendeshea mambo yangu yote, na kwamba kila mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu malipo yake ni kuwa hatoingia Peponi kabisa, bali ataingia Motoni, kwa kuwa amekiuka mipaka ya Mwenyezi Mungu. Na mwenye kuvunja mipaka yake hataepuka na adhabu.(Yesu kasema: "Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja." Marko 12.28. "Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe".Yohana 5.30 "Ninapaa kwenda kwa...Mungu wangu naye ni Mungu wenu." Yohana 20.17 )

73. Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja.
Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru
TAFSIRI:
Haiwi mwenye kudai kuwa Mwenyezi Mungu ni mmoja katika Utatu, kama wadaivyo Wakristo sasa, awe anamuamini Mwenyezi Mungu.!! Na hakika iliyo thibiti ni kuwa hapana mungu ila Mwenyezi Mungu mmoja pekee. Na ikiwa hawa walio potoka hawatoacha itikadi zao potovu, wakarejea kwenye ut'iifu wa Mwenyezi Mungu, hapana budi ila itawasibu adhabu kali. (Biblia inasema kuwa ya kwanza katika Amri Kumi alizo pewa Musa ni: "Usiwe na miungu mingine ila mimi." - Kutoka 20.3. "Wewe umeonyeshwa haya, ili upate kujua ya kuwa Bwana ndiye Mungu, hapana ila yeye." - Kumbukumbu la Torati 4.35. Katika Injili ya Yohana 17.3 Yesu anamsemeza Mwenyezi Mungu: "Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma.")

NARUDIA TENA KUWA KAFIRI SIO TUSI BALI NI JINA TUU LENYE MAANA MPINGA DINI AU ANAEENDA KINYUME NA AMRI ZA MWENYEZI MUNGU.

NI KAMA VILE MTU AKUITE MCHAMUNGU, MZINZI AU MCHEZA MPIRA YAANI NI JINA LINALOELEZEA WASIFU FLANI
 
Mzee small siyo kafiri ndio maana hakufanywa biashara kama wale wengine.

Nadhani hekima ilitakiwa kutumika ndugu yangu umekosea haijalishi dini yako sisi wote wa Mungu uagwe wazi ufichwe bado umekwenda hautarudi tena kukashifu wengine sio uungwana amini dini yako nami niamini yangu mwisho kitaeleweka tuuuuu mengine mbwembwe tu maana uislamu wanaujua waarabu umeletwa tukapokea bila kujua muulize babu wa mababu zako walikuwa wanaabudu wapi ukristo nao wanaujua wazungu tu tumeletewa tukachukua so dini zote ni mapokeo haina haja ya kujibizana wakati unaowaona makafiri ndio walio tusaidia kutoka kwenye biashara ya utumwa ya waarabu ambao ndio waanzilishi wa uislamu asante
 
KAFIRI NI NANI?
Naanza kwa jina la Mwenyezi Mungu ambaye hakuzaa na wala hakuna anayefanana nae..

Watu wengi huchukia na wengine kupigana kisa kaitwa kafiri.
wengi hufata mkumbo tuu bila kujua maana halisi ya neno Kafiri.

Kafir(i) ni neno linaloweza kutumika katika namna mbalimbali kama ifuatavyo:
>> Huko Indonesia na Malaysia kuna aina ya limao liitwalo Kaffir lime (hutamkwa kafiri) na scientific name ni Citrus hystrix, aina hii ya limao huwa na mabunyebunye (rough and bumpy) ni kama vile uso wa mtu mwenye chunusi.

>> Ukiangalia katika Wikipedia unagundua kuwa katika kipindi cha ukoloni huko Africa Kusini, mabwana shamba wa kikaburu walikuwa wakiwaita watu weusi hasa ambao sio wakristo (Waislamu na dini nyingine) kuwa ni makafiri.

>> Bado tukiendelea kuangalia katika wikipedia utakuta neno Kaffir ni neno la kiarabu lenye maana “non believer” yaani asiye muumini/mpingaji au mpinzani (protestant) wa dini flani. Na neno hili la kiarabu hutumika mara nyingi na waislamu dhidi ya waumini wa dini nyingine (non-muslims)..
Hivyo HILI SIO TUSI kama wengi wamekuwa akidhani na ninaomba tuwaeleweshe na wenzetu ili waache kuchukia pindi waitwapo makafiri

>> Tukirudi katika kitabu kitukufu cha Quran, tunapata ushahidi kuwa hatuwaiti hivyo kwa utashi wetu bali ni MwenyeziMungu (Allah) mwenyewe ndo kasema katika kitabu hicho kitakatifu cha Quran 5:72-73 kama ifatavyo;

QURAN 5:72-73
72. Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu!
Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru.
TAFSIRI:
Wenye kudai kuwa Mwenyezi Mungu yu katika Isa bin Maryam hata akawa yeye Mungu, kama wasemavyo Wakristo hii leo, hakika wamekufuru! Yeye Isa hana dhambi ya haya, kwani hakupata kudai hivyo hata mara moja. Bali yeye aliwaamrisha Wana wa Israili wamsafie imani Mwenyezi Mungu peke yake kwa kusema: Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye niumba mimi na nyinyi, na ndiye anaye niendeshea mambo yangu yote, na kwamba kila mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu malipo yake ni kuwa hatoingia Peponi kabisa, bali ataingia Motoni, kwa kuwa amekiuka mipaka ya Mwenyezi Mungu. Na mwenye kuvunja mipaka yake hataepuka na adhabu.(Yesu kasema: "Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja." Marko 12.28. "Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe".Yohana 5.30 "Ninapaa kwenda kwa...Mungu wangu naye ni Mungu wenu." Yohana 20.17 )

73. Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja.
Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru
TAFSIRI:
Haiwi mwenye kudai kuwa Mwenyezi Mungu ni mmoja katika Utatu, kama wadaivyo Wakristo sasa, awe anamuamini Mwenyezi Mungu.!! Na hakika iliyo thibiti ni kuwa hapana mungu ila Mwenyezi Mungu mmoja pekee. Na ikiwa hawa walio potoka hawatoacha itikadi zao potovu, wakarejea kwenye ut'iifu wa Mwenyezi Mungu, hapana budi ila itawasibu adhabu kali. (Biblia inasema kuwa ya kwanza katika Amri Kumi alizo pewa Musa ni: "Usiwe na miungu mingine ila mimi." - Kutoka 20.3. "Wewe umeonyeshwa haya, ili upate kujua ya kuwa Bwana ndiye Mungu, hapana ila yeye." - Kumbukumbu la Torati 4.35. Katika Injili ya Yohana 17.3 Yesu anamsemeza Mwenyezi Mungu: "Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma.")

NARUDIA TENA KUWA KAFIRI SIO TUSI BALI NI JINA TUU LENYE MAANA MPINGA DINI AU ANAEENDA KINYUME NA AMRI ZA MWENYEZI MUNGU.

NI KAMA VILE MTU AKUITE MCHAMUNGU, MZINZI AU MCHEZA MPIRA YAANI NI JINA LINALOELEZEA WASIFU FLANI

Shule yako ni ndogo sana.....una elimu ya madrasa tu
....
 
inasikitisha sana kulumbana eti kisa ni dini.za kigeni ambazo hazina majibu ya maswali yetu mengi, wake up africans tuache ujinga wa kukaririshwa story za mababu wa kiyahudi na kiarabu
 
inasikitisha sana kulumbana eti kisa ni dini.za kigeni ambazo hazina majibu ya maswali yetu mengi, wake up africans tuache ujinga wa kukaririshwa story za mababu wa kiyahudi na kiarabu

Nadhani tungeanza kubadilika kuanzia majina tunayo jiita.
 
inasikitisha sana kulumbana eti kisa ni dini.za kigeni ambazo hazina majibu ya maswali yetu mengi, wake up africans tuache ujinga wa kukaririshwa story za mababu wa kiyahudi na kiarabu

Na wakichonganishwa wataanza kukatana mapanga kama wagonjwa wa akili.....bila kujua kuwa bibilia na kuraan ni vitabu vya historia vya wenye navyo, na hata kurasa zake hazionyeshi uwepo wa binaadamu wa ngozi nyeusi....

Nadhani swali la kujiuliza ni, vitabu vyetu vya historia sie ngozi nyeusi a.k.a mablaki, vinavyoendana na hivyo, viko wapi ?.....sio dhambi kuamini, kutambua na kuheshimu uwepo wa Mungu lakini sio busara kutekwa na imani za wengine kwa asilimia mia moja bila hata kujali asili yetu sisi ni ni ipi ?.....
 
Back
Top Bottom