Mimi naamini zile enzi za mikataba ya kisiri ya serikali na wafanyabiashara tofauti kama Rostam umepitwa na wakati.
Sababu ni hii siri zilizokuwepo huko nyuma zilikuwa kwasababu mikataba ni mibaya na aibu kwa jamii. Sasa tumefika sehemu ambayo hata mikataba mibaya bunge letu linapitisha wazi. Sasa hakuna sababu yeyote kwa serikali au wafanyabiashara kuficha chochote. Hii ndiyo sababu ya mimi kuamini wanaosema Rostam ka sign mikataba ya siri wanakosea cha kujiuliza "Kwa uoga upi Rostam alionao" Kwa uoga upi serikali walionao!
Sababu ni hii siri zilizokuwepo huko nyuma zilikuwa kwasababu mikataba ni mibaya na aibu kwa jamii. Sasa tumefika sehemu ambayo hata mikataba mibaya bunge letu linapitisha wazi. Sasa hakuna sababu yeyote kwa serikali au wafanyabiashara kuficha chochote. Hii ndiyo sababu ya mimi kuamini wanaosema Rostam ka sign mikataba ya siri wanakosea cha kujiuliza "Kwa uoga upi Rostam alionao" Kwa uoga upi serikali walionao!