Mackdymacswagz
Member
- Sep 10, 2019
- 17
- 15
Ndugu zangu naomba msaada wa kimawazo,
Kama mwezi mmoja hivi kunawakati nilikuwa mtu mchovu mchovu, kuamka mapema yenyewe ilikuwa shida, nikawaza labda nijaribu kuwa nafanya mazoezi ,lakini changamoto ikawa mazoezi yenyewe nikawa sifanyi kama nitakavyo nasema kesho kesho na ikitokea nimefanya basi nafanya mara moja labda jogging tena nikiwa na company au kuruka kamba.
Sasa hii hali ikatengeneza maswali mengi kwenye akili yangu kuhusu mazoezi yaan watu husema mazoezi Ni muhimu ,"
Je, inamaana siku zote za maisha yangu nitakuwa nikifanya mazoezi, na kipindi nikiacha itakuwaje na Kama mazoezi Ni muhimu kwa afya mbona baadhi ya watu wengi hawafanyi mazoezi na wapo vizuri kama wazazi wangu,
Mwingine hajawahi jihusisha kabisa na yupo pw nikiwa barabaran nikimuona mtu anajogg najiuliza inamaana huyu mtu hufanya kila siku na vp ikitokea hafanyi labda, ambapo haya mawazo nikiwa sina majibu nakuwa sina raha kabisa nakuwa depressed kabisa.
Kama mwezi mmoja hivi kunawakati nilikuwa mtu mchovu mchovu, kuamka mapema yenyewe ilikuwa shida, nikawaza labda nijaribu kuwa nafanya mazoezi ,lakini changamoto ikawa mazoezi yenyewe nikawa sifanyi kama nitakavyo nasema kesho kesho na ikitokea nimefanya basi nafanya mara moja labda jogging tena nikiwa na company au kuruka kamba.
Sasa hii hali ikatengeneza maswali mengi kwenye akili yangu kuhusu mazoezi yaan watu husema mazoezi Ni muhimu ,"
Je, inamaana siku zote za maisha yangu nitakuwa nikifanya mazoezi, na kipindi nikiacha itakuwaje na Kama mazoezi Ni muhimu kwa afya mbona baadhi ya watu wengi hawafanyi mazoezi na wapo vizuri kama wazazi wangu,
Mwingine hajawahi jihusisha kabisa na yupo pw nikiwa barabaran nikimuona mtu anajogg najiuliza inamaana huyu mtu hufanya kila siku na vp ikitokea hafanyi labda, ambapo haya mawazo nikiwa sina majibu nakuwa sina raha kabisa nakuwa depressed kabisa.