Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Nikitizama taswira nasuuzika
Nikisoma maandishi yake nahorojeka
Akiwa anazungumza / kujibishana na watu naburudika....
Japo ashawahi nikasirisha ila anajua kunifurahisha na kunisahaulisha....
Hakika nampenda na yake yote aliyonayo, mabaya kwa mazuri bado nampenda hata nikigombana nae siwezi kumuacha.
Dadii to you am more than a friend, more than a woman, more than a another, more than a lover......
#Loving you..... has made my life so beautiful, and everything in my life is driven by loving you... laa laa laa laa laah, laa laa laa laa laah, laa laa laa laa laah laah laah laaah dumdumdumdumduuh uuuuuuuuuuhhhhh.
Mahaba trilion kwako Dadii.
Mmuahh! !
NB: KICHWA CHA UZI KISOMEKE, KWANINI NAMPENDA SANA DADII....
Nikisoma maandishi yake nahorojeka
Akiwa anazungumza / kujibishana na watu naburudika....
Japo ashawahi nikasirisha ila anajua kunifurahisha na kunisahaulisha....
Hakika nampenda na yake yote aliyonayo, mabaya kwa mazuri bado nampenda hata nikigombana nae siwezi kumuacha.
Dadii to you am more than a friend, more than a woman, more than a another, more than a lover......
#Loving you..... has made my life so beautiful, and everything in my life is driven by loving you... laa laa laa laa laah, laa laa laa laa laah, laa laa laa laa laah laah laah laaah dumdumdumdumduuh uuuuuuuuuuhhhhh.
Mahaba trilion kwako Dadii.
Mmuahh! !
NB: KICHWA CHA UZI KISOMEKE, KWANINI NAMPENDA SANA DADII....