juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,467
Mkuu kupenda kusex ni kutegemea na aina ya vyakula unavyokula. Ukitumia vyakula vyenye proteins kama maharage na kamanda, zaidi tegemea matokeo kama hayo, pia unavyojiweka mawazo yako zaidi muda wote unawaza ngono ni lazima uhitaji hiyo kitu kila ckuHapa nipo serious na wala sitaki utani wala matusi na majibu ya hovyo.mi mwenzenu sijui nina tatizo gani,yaaani napenda sana kufanya mapenzi,kwa wiki nafanya hata mara 5/4.na nikilala na mwanamke huwa kesho yake lazima alalamike eti napanda kila mara.waungwana ambao ni wataalamu niambieni hii kitu kupenda kusex inatokana na nini?
Alaaa kumbe?Mkuu kupenda kusex ni kutegemea na aina ya vyakula unavyokula. Ukitumia vyakula vyenye proteins kama maharage na kamanda, zaidi tegemea matokeo kama hayo, pia unavyojiweka mawazo yako zaidi muda wote unawaza ngono ni lazima uhitaji hiyo kitu kila cku
[emoji3] [emoji3] [emoji115] huna akili weweUnamapepo au unafafana vinasaba na yule mnyama kicheche
HahahahahaUnamapepo au unafafana vinasaba na yule mnyama kicheche
Huna stress wala majukumu na unakula vizuri na changamoto kwako no ndoto za kufikirikaHapa nipo serious na wala sitaki utani wala matusi na majibu ya hovyo.mi mwenzenu sijui nina tatizo gani,yaaani napenda sana kufanya mapenzi,kwa wiki nafanya hata mara 5/4.na nikilala na mwanamke huwa kesho yake lazima alalamike eti napanda kila mara.waungwana ambao ni wataalamu niambieni hii kitu kupenda kusex inatokana na nini?
Na watu siku hizi walivyogundua kula vyakula vya asili basi wanawake wa wanaume genye muda wote, sasa kama huna kitu cha kukuweka busy ndo matokeo yake haya..Huna stress wala majukumu na unakula vizuri na changamoto kwako no ndoto za kufikirika
we ndo mumewe Monicca nini, mnarandana
mwache aje tu, wengne JF ndo starehe zetu, tupo hapa mpaka mida mibovuHahahahahaha anakuja!!!
Ajiandae na kilichompata Dr wa Msoga.Kwasababu kifanyio unacho...