MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
1. Wanacheza Kimkakati zaidi kama Simba SC
2. Wana Wachezaji Wapambanaji kama wa Yanga SC
3. Wana Golikipa Bora sana
4. Messi anawarahisishia Kazi Wengine
5. Wana Morali ya Kiuzalendo hasa
6. Argentina ni Timu ya Mungu
7. Lionel Messi hakabiki na Kabarikiwa
Nami MINOCYCLINE namalizia kwa kusema kuwa Sisi Team Messi na Team Argentina hakuna Mechi nyepesi Kwetu na ambayo tena tutashindwana Comfortably na Dunia haitoamini kama hii ya Fainali dhidi ya Wasiojua Ufaransa.
2. Wana Wachezaji Wapambanaji kama wa Yanga SC
3. Wana Golikipa Bora sana
4. Messi anawarahisishia Kazi Wengine
5. Wana Morali ya Kiuzalendo hasa
6. Argentina ni Timu ya Mungu
7. Lionel Messi hakabiki na Kabarikiwa
Nami MINOCYCLINE namalizia kwa kusema kuwa Sisi Team Messi na Team Argentina hakuna Mechi nyepesi Kwetu na ambayo tena tutashindwana Comfortably na Dunia haitoamini kama hii ya Fainali dhidi ya Wasiojua Ufaransa.