Viwanja hatuna na uwezo wa kuanza kuviboresha kwa mkupuo hapo ndio penye changamoto. Kati ya majiji yetu ni dar pekee ndio kuna viwanja bora kwingine hamna kitu.
Fikiria una mashindano yanayohusisha timu hata 8 je hizo timu zitafanyia wapi training? Taifa halina viwanja bora vya kutosha pia Klabu zetu hazina training centre za kisasa ambazo zingeweza kutumika kwenye mashindano yaliyoandaliwa kitaifa.
Viwanja ndio shida. Kuandaa mashindano na wateja pia shida kama hamna simba na yanga katika hayo mashindano uliyoyasema.
Na simba na yanga zinapendwa na wawekezaji kama azam sababu zina mashabiki wengi wasio na kazi za kufanya.. hawa watu ni wateja wa content.
Azam anatumia mbinu ya msanii diamond. Ukitaka upate faida haraka tz .Weka content ambazo waswahili wanazipenda.. weka contenyt za umbea ama weka content za simba na yanga. Hela yako haipotei lazima upate faida kubwa