Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Habari wa ndugu. Ni swala ambalo liko wazi kuwa nchi ya Rwanda imeendelea kwa vipimo vingi ukilinganisha na mkoa wa Kagera. Hizi sehemu mbili zimepakana na hali ya hewa na mambo mengine wanafanana kwa karibu sana. Lakini ukiangalia sehemu hizi mbili utaona kama Kagera ina Advantage ya kuwa imeendelea kuliko Rwanda.
Rwanda ina eneo la kilomita za mraba 26,000 wakati Kagera ina eneo la kmsq 35,000. Hivyo Kagera ni kubwa kuliko Rwanda.
Pili, Rwanda ina watu 12m wakati Kagera ina watu 3m hivi. Tukumbuke kuwa kwa sehemu kubwa sehemu hizi zinategemea ichumi wa kilimo na wakazi wake wengi ni wakulima. Ukiangalia hizo takwimu utaona kuwa wananchi wa Kagera wana eneo kubwa zaidi la kulima na kufuga. Kama mtu mmoja ana ekari moja Rwanda, yule wa Kagera ana ekari Tano. Pia Kagera ina faida nyingine ya kuwa na ziwa kubwa kabisa, nadhani Kagera ndiyo inashare kubwa ya shoreline ya ziwa Viktoria. Na wakati huohuo watu wa Kagera wana access ya soko la watu milioni 60 kuuza bidhaa zao bila vikwazo vyovyote.
Tulisikia kuwa umoja ni nguvu, sasa kwanini Kagera iliyo katika nchi iwe na maendeleo duni kuliko Rwanda ambayo kihistoria ni kama imejitenga na nchi ya Tz? Je Rwanda ingekuwa mkoa wa Tanzania ingeweza kuwa na maendeleo iliyonayo? Je Kagera ingekuwa nchi ingefanana maendeleo na Rwanda au hata kuipita?
Rwanda ina eneo la kilomita za mraba 26,000 wakati Kagera ina eneo la kmsq 35,000. Hivyo Kagera ni kubwa kuliko Rwanda.
Pili, Rwanda ina watu 12m wakati Kagera ina watu 3m hivi. Tukumbuke kuwa kwa sehemu kubwa sehemu hizi zinategemea ichumi wa kilimo na wakazi wake wengi ni wakulima. Ukiangalia hizo takwimu utaona kuwa wananchi wa Kagera wana eneo kubwa zaidi la kulima na kufuga. Kama mtu mmoja ana ekari moja Rwanda, yule wa Kagera ana ekari Tano. Pia Kagera ina faida nyingine ya kuwa na ziwa kubwa kabisa, nadhani Kagera ndiyo inashare kubwa ya shoreline ya ziwa Viktoria. Na wakati huohuo watu wa Kagera wana access ya soko la watu milioni 60 kuuza bidhaa zao bila vikwazo vyovyote.
Tulisikia kuwa umoja ni nguvu, sasa kwanini Kagera iliyo katika nchi iwe na maendeleo duni kuliko Rwanda ambayo kihistoria ni kama imejitenga na nchi ya Tz? Je Rwanda ingekuwa mkoa wa Tanzania ingeweza kuwa na maendeleo iliyonayo? Je Kagera ingekuwa nchi ingefanana maendeleo na Rwanda au hata kuipita?