Kwanini nchi za kiislam kuna Christianphobia (Uoga wa ukristo kuwa na waumini wengi) mpaka kupelekea kukataza makanisa kujengwa ?

Kwanini nchi za kiislam kuna Christianphobia (Uoga wa ukristo kuwa na waumini wengi) mpaka kupelekea kukataza makanisa kujengwa ?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Phobia ni hali ya kuogopa kitu kigeni kitakuwa na mafanikio kuliko chako, phobia katika dini ni dhana ya uoga wamba dini flani itafanikiwa kuzidi yako, hivyo hatua inabidi zichukuliwe ili kuzuia hata kama ni nje ya maandiko matakatifu.

naonaga watu wanasema kuna islamaphobia lakini kiukweli waislamu wapo huru kufanya mambo mengi sana katika nchi za kikristo, Hali huwa ni tofauti kabisa katika nchi za kiislam ambako ndiko kuna phobia kubwa sana ya ukristo, yani kujenga makanisa kuna sheria kali mno,,,,, mfano kwa hapa kwetu ni hapo juzi tu Zanzibar kuna kanisa lilibomolewa.

unakuta makanisa ni machache sana yani ya kuhesabuka na hio ni kuzugia tu kwa unafki kwamba wanaheshimu ukristo.

Binafsi nayaheshimu maandiko ya Quran lakini shida inakuja pale viongozi wa dini wanapozungusha maandiko ili kuminya uhuru wa dini zingine.
 
Yani unakuta ni sheria kabisa hio kwamba makanisa hayaruhusiwi.

unakuta makanisa ni machache sana yani ya kuhesabuka na hio ni kuzugia tu kwa unafki kwamba wanaheshimu ukristo.
Ni kwasabb Uislamu ni mfumo mzima wa maisha hautenganishi Dini na siasa au uchumi ni kitu kimoja, kwahiyo wanasiasa wanatumia vyeo vyao kueneza na kulinda dini yao.
 
Ni kwasabb Uislamu ni mfumo mzima wa maisha hautenganishi Dini na siasa au uchumi ni kitu kimoja, kwahiyo wanasiasa wanatumia vyeo vyao kueneza na kulinda dini yao.
Kila mtu ana imani yake,

wewe ukiamini dini yako ndio mfumo mzima wa maisha, basi jua kwamba kwa mwengine nae ana dini yake ambayo anaamini ndio mfumo mzima wa maisha.

Binafsi nauheshimu sana uislam wa kwenye maandiko ila huu wa viongozi kuyazungusha maandiko ili yaendane na fikra zao ni ujinga tu.
 
Sio dini ni dola inayo tumia mwamvuli wa kidini kutawala....ndomana katika nchi zenye idadi kubwa ya wahislam hakuna democracy angalia sheria zao zinaminya mpaka uhuru wa mpagani. Zanzibar wameweka sheria ya kutokula kwa mwezi mzma kwani walisikia mungu anataka watu washinde njaa? au ni wafungie toba hawa jamaa watamaliza kuni huko.....
 
Kila mtu ana imani yake,

wewe ukiamini dini yako ndio mfumo mzima wa maisha, basi jua kwamba kwa mwengine nae ana dini yake ambayo anaamini ndio mfumo mzima wa maisha.

Binafsi nauheshimu sana uislam wa kwenye maandiko ila huu wa viongozi kuyazungusha maandiko ili yaendane na fikra zao ni ujinga tu.
Mkuu mbona umehamisha mada mimi nimekupa sabb kwanini liko hivo na mifano mizuri kwa uislamu hawatenganishi dini chumi na siasa in: Islamic Republic of Iran islamic Republic of Pakistan Islamic kingdom of Saudi Arabia nk, katiba yao inatamka wazi kwamba state religion ni Islam, kwahiyo hawawezi kukubali dini zingine kuenea karahisi rahisi, ni kinyume na katiba
 
Uislamu ndio dini pekee inayolindwa kwa bunduki huku ikihofia competition ya kiimani toka dini zingine. Si Ukristo pekee marufuku nchi za kiislamu hata ubudha, rastafarian, shinto, uyahudi, hindu, nk ni marufuku. Mfano somali ukikutwa na bange kifungo miaka 10 ukikutwa na Biblia kifungo miaka 40.
Sema maendeleo ya technology siku hizi unaweza shiriki ibada toka popote duniani kupitia simu.
 
Pamoja na ishu ya kuulinda uislamu, still bado uislamu ni mfumo bora Sana wa kuongozea nchi na kuleta haki na usawa kwenye Jamii, mfano hai nchi za kiislamu za afrika kaskazini ndio pekee ambazo wananchi wake wananufaika na kodi zao na awaisomi Sana namba kama wananchi wa nchi zingine zisizo za kiislamu africa,
 
Hii sio kwa waislamu2 bali ni kwamba nchi ikiwa na wingi wa imani fulani basi hawaruhusu inani nyengine iingie. Hujaskia baadhi ya nchi za ulaya haziitaji kuskia neno uislamu? Hujasikia china japan na korea hataki kabisa kusikia uislamu wala ukristo katika hizo nchi mfano mwaka 2019 disemba china ilichoma misahafu na bibilia nyingi wakidai hawataki dini ispokuwa zile za kichina
 
Phobia ni hali ya kuogopa kitu kigeni kitakuwa na mafanikio kuliko chako, phobia katika dini ni dhana ya uoga wamba dini flani itafanikiwa kuzidi yako, hivyo hatua inabidi zichukuliwe ili kuzuia hata kama ni nje ya maandiko matakatifu.

naonaga watu wanasema kuna islamaphobia lakini kiukweli waislamu wapo huru kufanya mambo mengi sana katika nchi za kikristo, Hali huwa ni tofauti kabisa katika nchi za kiislam ambako ndiko kuna phobia kubwa sana ya ukristo, yani kujenga makanisa kuna sheria kali mno,,,,, mfano kwa hapa kwetu ni hapo juzi tu Zanzibar kuna kanisa lilibomolewa.

unakuta makanisa ni machache sana yani ya kuhesabuka na hio ni kuzugia tu kwa unafki kwamba wanaheshimu ukristo.

Binafsi nayaheshimu maandiko ya Quran lakini shida inakuja pale viongozi wa dini wanapozungusha maandiko ili kuminya uhuru wa dini zingine.
VATICAN hakuna Islamaphobia? uliona msikiti umejengwa Vatican.Au hujui kuwa Vatican ni nchi unaingia kwa passport? mimi mwenyewe nimeshafika Vatican nikafika pia hadi Venice.
Ukimwaga mboga sisi tunamwaga ugali msipende kusingizia waslam kwa kila jambo
 
Pamoja na ishu ya kuulinda uislamu, still bado uislamu ni mfumo bora Sana wa kuongozea nchi na kuleta haki na usawa kwenye Jamii, mfano hai nchi za kiislamu za afrika kaskazini ndio pekee ambazo wananchi wake wananufaika na kodi zao na awaisomi Sana namba kama wananchi wa nchi zingine zisizo za kiislamu africa,
Nchi za Afrika Kaskazini zinasaidiwa na kuwepo kwao karibu na Ulaya. Hata sisi tungekuwa Kaskazini tusingekuwa hohehae kama tulivyo.

Chukulia Comoro...ni nchi ya Kiislam ipo mbali na Ulaya na Uarabuni. Angalia hali yao ilivyo. Unaweza sema hata Somalia ina shida hiyo hiyo.

Ulaya wanatoa hela nyingi sana kusaidia nchi za Kaskazini mwa Africa ili kutuliza mambo raia wao wasije wakahamia Ulaya wote kama ambavyo kila siku wanapambana kukimbilia huko.
 
VATICAN hakuna Islamaphobia? uliona msikiti umejengwa Vatican.Au hujui kuwa Vatican ni nchi unaingia kwa passport? mimi mwenyewe nimeshafika Vatican nikafika pia hadi Venice.
Ukimwaga mboga sisi tunamwaga ugali msipende kusingizia waslam kwa kila jambo
Vatican haiogopi Waislam. Nchi yenyewe ni ndogo sana ina watu wasiozidi 800. Eneo lote la nchi halizidi 0.4M² na lote limejengwa sasa sijui mtaenda kujenga wapi. Ila Roma ipo Misikiti mingi tu inatosha kuhudumia Waislam.
 
VATICAN hakuna Islamaphobia? uliona msikiti umejengwa Vatican.Au hujui kuwa Vatican ni nchi unaingia kwa passport? mimi mwenyewe nimeshafika Vatican nikafika pia hadi Venice.
Ukimwaga mboga sisi tunamwaga ugali msipende kusingizia waslam kwa kila jambo
Mkuu umeamua tu kukaza kichwa Vatican ujui ni nchi ndani ya Italy kwanini usiseme walipokataza kujenga msikiti ndani ya italy kusema Vatican kujenga msikitini ni sawa na kujenga msikiti ndani ya kanisa unaweza au?
 
Back
Top Bottom