Mwafrika ku balance story sio utamaduni wake kabisa yaani!Pale Syria ni njia ya mkato kupitisha Bomba la nishati kuelekea Ulaya Toka nchini Qatar.
Ulaya wakaomba kupitisha Bomba,Lengo lao watakapoachana na nishati ya Urusi wasikwame.Urusi alipogundua Hilo akashinikiza lisipite,Ulaya wakaamua kushika bunduki kumuondoa kiongozi wa Syria Kwa kuwatumia mamluki.Urusi mpaka kesho anambakiza yule kiongozi madarakani Kwa gharama yoyote Ile.
Huu mgogoro wa Uikrane ulipangiliwa kitaamb😵na Leo German kashuka kiuchumi,Japan haipo Tena kwenye G7.Nato imetumbukia kwenye shimo reeeefu, Dollar nayo imepotezwa.
View attachment 2639556
.Mwafrika ku balance story sio utamaduni wake kabisa yaani!
Uovu wao haukuanza leo: umeanza toka wakati wa Sodom and Gomorrah.Sina chuki, nahitaji tu kufahamu, ni wanachonganishwa au ni nini?
Kama miaka miwili hivi kidogo kulitulia ukiachana na Syria ambayo bado inamgogoro,
Sasa siku kadhaa zilizopita naona Taliban wanataka kukuanzisha na Iran.
Kuna ugumu gani hizi nchi za kiarabu/kiislamu kuishi kwa amani ?
Je ni dini inachangia ? Ni race yao/ukanda wao au shida nini?
Interested in this one, naweza pata reference/s ya hii kitu nikaongeza maarifa?Uovu wao haukuanza leo: umeanza toka wakati wa Sodom and Gomorrah.
Stori ya kule ni hivi,pay attention;
Zamani walikuwepo giant people(two times taller than the tallest man)14 feet tall. Wale watu walikuwa Space men,wamekuja,wametumwa hapa from a distant universe,kuanzisha makazi mapya hapa. Ndio walioleta binadamu hapa,na wao walikuwa hapa kama wachungaji,wanawashepherd binadamu.
Halafu,travelling faster than the speed of light katika vyombo vyao,wakarudi maskani kwao,in a distant universe,actually they cross this universe,and they traverse another universe,and then they arrive at that universe . Yaani,two universes beyond.
walipofika kule,kama inavyotokea in many places in the universe,ilitokea revolution,change of government,kulikuwa na puppet leader amewekwa pale,ambaye alikuwa anawachukia hawa wasafiri. Kwa hiyo,upesi wakachukua mademu kidogo,wakadandia meli zao,wakarudi duniani.
Waliporudi,wakagombana,wao kwa wao,ugomvi wao mademu,kwa sababu kulikuwa kuna uhaba wa mademu. They were two camps,the "good side" and the "bad side"
That "bad side",wao wakaenda kuishi eneo ambalo siku hizi linaitwa Bible Lands. Wale "good side" wakaenda kuishi Magharibhi.
Hawa "waovu"wakajaribu kuchukua wanawake binadamu. Wakatafuta wanawake wakubwa. But still,it was impossible. The giants were too big for the women.
Kwa hiyo wakawa wanapigana vita kila wakati,vita zenye lengo moja tu la kupokonyana mademu.
Kwa hiyo unaona genesis ya tatizo la Sodom and Gommorrah,kulikuwa kuna uhaba wa mademu.
Lakini hayo ndiyo matatizo yaliyotokea. Binadamu alikuwa savage wakati ule. Kwa hiyo hawa "miungu" wakigombana,anaiga tabia zao, anafikiria kama miungu wanagombania mademu,kwa nini na yeye asifanye hivyo?
To make a long story short,the good people,who were the weaker side,bombed the badies. Ndiyo ardhi ikabinuka pale,palikuwa na bahari,lakini maji yakapita yakaenda kwenye Mediterranean mpaka kwenye Atlantic.
Ile Arabian desert na Sahara desert,michanga ile probably ilikuwa ocean floor.
Mkuu mbona japan bado ni G7?Pale Syria ni njia ya mkato kupitisha Bomba la nishati kuelekea Ulaya Toka nchini Qatar.
Ulaya wakaomba kupitisha Bomba,Lengo lao watakapoachana na nishati ya Urusi wasikwame.Urusi alipogundua Hilo akashinikiza lisipite,Ulaya wakaamua kushika bunduki kumuondoa kiongozi wa Syria Kwa kuwatumia mamluki.Urusi mpaka kesho anambakiza yule kiongozi madarakani Kwa gharama yoyote Ile.
Huu mgogoro wa Uikrane ulipangiliwa kitaamb😵na Leo German kashuka kiuchumi,Japan haipo Tena kwenye G7.Nato imetumbukia kwenye shimo reeeefu, Dollar nayo imepotezwa.
View attachment 2639556
Kwanza hii Ni layman mistake inafanywa kila siku humu, Taliban ama Afghanistan hawapo Mashariki ya Kati, wapo Asia ya kati/Kusini, Afghanistan, Pakistan, India, Bangladesh etc hawa ni race moja.Sina chuki, nahitaji tu kufahamu, ni wanachonganishwa au ni nini?
Kama miaka miwili hivi kidogo kulitulia ukiachana na Syria ambayo bado inamgogoro,
Sasa siku kadhaa zilizopita naona Taliban wanataka kukuanzisha na Iran.
Kuna ugumu gani hizi nchi za kiarabu/kiislamu kuishi kwa amani ?
Je ni dini inachangia ? Ni race yao/ukanda wao au shida nini?
Sisi hatuishi huko mkuu.Sina chuki, nahitaji tu kufahamu, ni wanachonganishwa au ni nini?
Kama miaka miwili hivi kidogo kulitulia ukiachana na Syria ambayo bado inamgogoro,
Sasa siku kadhaa zilizopita naona Taliban wanataka kukuanzisha na Iran.
Kuna ugumu gani hizi nchi za kiarabu/kiislamu kuishi kwa amani ?
Je ni dini inachangia ? Ni race yao/ukanda wao au shida nini?