Kwanini nchi zilizotawaliwa na Wajerumani hasa Afrika hazizungumzi Kijerumani?

Kwanini nchi zilizotawaliwa na Wajerumani hasa Afrika hazizungumzi Kijerumani?

Tequila sir

Member
Joined
Mar 21, 2023
Posts
43
Reaction score
43
Moja kwa Moja kwenye hoja yangu, Ujerumani ni Moja ya nchi iliyowahi kuwa na makoloni mengi sehemu mbalimbali duniani kama zilivo nchi nyingine mfano Uingereza, Ufaransa ni kwanini nchi zilizotawaliwa na ujerumani hazizungumzi lugha ya kijerumani kama ilivo nchi zilizotawaliwa na muingereza ama Mfaransa?
 
Baadae ujerumani alinyang'anywa hizo nchi akapewa Muingereza..Kwa hiyo Muingereza akaleta English
 
Moja kwa Moja kwenye hoja yangu, Ujerumani ni Moja ya nchi iliyowahi kuwa na makoloni mengi sehemu mbalimbali duniani kama zilivo nchi nyingine mfano Uingereza, Ufaransa ni kwanini nchi zilizotawaliwa na ujerumani hazizungumzi lugha ya kijerumani kama ilivo nchi zilizotawaliwa na muingereza ama Mfaransa?
Mjeruman alitawala Namibia ya Leo, Tanganyika,Rwanda ,Burundi,Togo na baadhi ya maeneo Kameroon Hadi wakati wa vita kuu ya kwanza ya Dunia (1914-1918)Baada ya kushindwa vita hiyo alinyang'anywa makoloni yote.Yakawekwa chini ya udhamini wa Jumuiya ya mataifa lakini walioshinda vita wakagawana na kuyatawala.Hivyo mambo yote ya kijerumani yalifutwa ikiwa ni pamoja na lugha ya Kijerumani.Yalibaki majina kama Gunze kwa wakerewe,Plantan kwa pwani na Schmidt.Misamiati kama Hela,shule nk.Labda na Bismarck.The rest is history.
 
Back
Top Bottom