Ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu wanaume tulo wengi hatupitia mafunzo yale ya unyago,hivyo wengi ni malimbukeni na hawajui maana ya kuishi na mwanamke na hwajui mwanamke ni nani?anataka nini nk.tumetawaliwa na mfumo dume wa kujiona sisi ndio sisi tunajua kila kitu hata pale tulipokosea hatutaki kukosolewa,Kwa upande wa akina dada ndo ni kama kuondoa Gundu kwa sababu ya umri au kwa sababu fulani kaolewa lakini kiukweli hawajakamilika katika maisha ya ndoa,kitchen party za siku hizi hakuna lolote zaidi ya kutumika kama sehemu ya kupatia vyombo.